Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

Anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku

Acha tuone patamu sana hapo.

Ingekuwa ni mchezo familia ya binti wameucheza ili wapige hela za mshikaji kama baadhi ya familia za wenyeji wa Singida zilivyokuwa zinawafanyia walimu wapya, dogo angesema kuwa ameingiliwa

Inaonekana kuna watu tu wa nje wamechoma hii kitu
Hii case itakua na mambo mengi sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda zobaaa, mwingne anapewa 30k na hastukiwiiii.
Wwe inaonekana ulianzaa kugongwa ukiwa mdogo sana labda ulikua na Miaka 7 ndiyo maana unaona katoto ka miaka 12 ni Mtu mzima sana! Ila kwa makuzi ya watu masini au uswahilini vitoto vidogo kutembea na watu wazima mnaona ni Jambo la kawaida kwa sababu ya Umasikini,kwenu nyinyi as long kuna pesa mko tayari kufanya lolote lile hata Kama ni uvunjifu wa maadili wala hamjali mradi mpate pesa tu
 
Wwe inaonekana ulianzaa kugongwa ukiwa mdogo sana labda ulikua na Miaka 7 ndiyo maana unaona katoto ka miaka 12 ni Mtu mzima sana! Ila kwa makuzi ya watu masini au uswahilini vitoto vidogo kutembea na watu wazima mnaona ni Jambo la kawaida kwa sababu ya Umasikini,kwenu nyinyi as long kuna pesa mko tayari kufanya lolote lile hata Kama ni uvunjifu wa maadili wala hamjali mradi mpate pesa tu
Pesa kwan, mengine baadae. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kesi nzito sana hizi ila siku hizi nako zimeingizwa uhuni pia.

Kuna mchezo mpya siku hizi mama mwenye nyumba huwa anawafundisha maksudi mabinti wawe wanaingia vyumba vya wapangaji wa kiume.

Wakiingia vyumbani tu hata kucheki muvi, mama mwenye nyumba anamstua mtendaji wake na polisi wake waje.

Hapo kuchomoka uwe na zaidi ya laki 3, kama wanajua una kazi utatema hata milioni.

Wengine hawaitaji pesa wanakunyoosha tu ukaozee jela
Fitina hizo ni kwa manufaa gani?
 
Aende jela miaka 60 na viboko juu,
Shenzi zake na huyo binti apate wataalam wa saikolojia wamuweke sawa akili yake, amekua abused akiwa mdogo sana hiyo trauma isije ikamtesa ukubwani.
Usipende kuhukumu, hii ni planned move na Sio bahati mbaya, kinachoonekana huyo kaka WA Watu ni mcheshi na huyo mtoto anapenda kucheza na simu, anytime anazuka chumbani ankle the naomba simu nicheze game!! Ankle then mazoea!! Jiulize hizo picha ni za kingono!? Maybe no, Sasa mtoto anazoea kupitiliza na ucheshi unakuponza, hao dada WA Binti mdogo huenda ndio walimtaka huyo kijana akawazingua nao wakamtafitia hao mapolisi, what coincidence mtoto atoke nje na Polisi hapo hapo wapo!? Huyo mtoto ndio WA kumuokoa huyo kijana Kwa kusema Ukweli, ni Mkubwa WA kutosha kuweza kutambua uzito WA kumbambikizia Mtu kesi kubwa kama hiyo, hao dada zake huenda Wana donge la kukataliwa
 
Ina maana dada mtu alipofika:

Kwanza Binti hakua ndani kwa mshikaji. Alikutwa nje tu na simu ya jamaa.

Si umeona hata kwenye video wakati jamaa wanaingia ndani swali la kwanza ni "huyu Binti yuko wapi?"

Kwahiyo dada mtu alipata wapi muda wa kuwaita polisi, Mkuu wa wilaya na Azam media ndani ya muda mfupi hivo?

Kumbuka kosa la jamaa kumuazima Binti simu yake. Yaani Binti hajakutwa ndani kwa jamaa. Kakutwa nje na dada yake kashika simu ya jamaa.

Hii kesi wewe unaonaje? Mbona ina maswali mengi hayana majibu?

Ama jinai yake ni kumuazima mwanafunzi simu usiku?

Hivi kesi ikienda mahakamani na Binti akashikilia msimamo wake kuwa hajawahi kugongwa na mshikaji, bado jamaa atahukumiwa?
Mkuu case tayari ipo mikononi mwa DC mzee na ndio kaishikilia, na ishaenda mpaka kwenye media, mimi na wewe tubaki watazamaji tu kwa maana bongo hii lolote linawezekana
 

Kijana David Ruya mkazi wa Tunduru Mjini – Ruvuma anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kukutwa na mwanafunzi chumbani kwake saa tano usiku.

Baada ya kukamatwa mwanafunzi huyo mwenye umri wa miaka 12 alikana kuingiliwa kimwili na mtuhumiwa huyo, lakini baada ya vipimo ilibainika kuwa walisema uongo huku simu waliyokutwa nayo ikigundulika kuwa na picha mbalimbali walizorekodi wakiwa chumbani.
MNGONI ngono kwake ni sawa na MBUNA DAMU, huwezi tenganisha.
MMASAI na RUBEGA lake.
JAMII ichukue hatua yenyewe na si kutegemea serikali.
Utaratibu wa kuchukua sheria mkononi unweza kusaidia.
 
Meanwhile in Mbagala..

1000103952.jpg
 
Kama hayo yote yanahusika hii kesi bado ngumu. Maana daktari vipimo vyake vinasema kuwa dogo kaingiliwa ila dogo anakataa
Angalia tena hiyo video. Wanasema badae huyo mtoto alikubali kutumikishwa kingono na mtuhumiwa. Na zimeonekana picha zao za pamoja kwenye simu ya jamaa. Kazi anayo.
 
Aiseee, angekuwa amekamata umri wa Ester tungemtetea, ila miaka 12 kweli ? Huyo wambake tu na yeye
kwa wilaya hiyo umri huo ni mtu mzima sana tena inawezekana keshawahi tembea na waume za watu zaidi ya wawili
 
Back
Top Bottom