Wilson Gamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 808
- 878
- Thread starter
- #121
Mara nyingine tena narudi kwenu kuendelea na zoezi hili maana JF inazalisha watu wapya kila siku wenda wakamfahamu.
Ana ni mtoto wa kwanza wa mzee Michael,na amezaliwa miaka ya 1978/79.Baba yake mzee michael alikuwa ni askari magereza katika gereza la Musoma miaka ya 1980s na alikuwa na mke anajulikana kwa jina la mama Ana(bahati mbaya hatujapata majina yake halisi),Mnyiramba-Singida.
Na inasadikika Ana alizaliwa Mkoani singida ambapo mama yake alikuwa ameenda kwao kwa ajili ya maandalizi ya mazazi,badae alirudi Musoma.
Miaka hiyo ya 1980-82,huyu mama alipata mtoto mwingine wa kiume na badae Mzee juma aliacha kazi na kuwa fundi seremala kwa muda na inavyosadikika alirudi kwao Masasi-Mtwara na baada ya hapo taarifa zake hazikupatikana tena.
Tumejitahidi sana kufatilia hadi kazini kwake hatukufanikisha na pia kupitia hapa jukwaani bado hatujampata na hivyo kupitia binti yake huyu au kijana wake kama wapo au ata (wajukuu) wake kwani kwa sasa wanaweza kuwa ni watu wazima na pengine wakawa watumiaji wa JF.
Naomba wajitokeza kwani kuna ndugu yao anawatafuta muda mrefu.Asanteni
Ana ni mtoto wa kwanza wa mzee Michael,na amezaliwa miaka ya 1978/79.Baba yake mzee michael alikuwa ni askari magereza katika gereza la Musoma miaka ya 1980s na alikuwa na mke anajulikana kwa jina la mama Ana(bahati mbaya hatujapata majina yake halisi),Mnyiramba-Singida.
Na inasadikika Ana alizaliwa Mkoani singida ambapo mama yake alikuwa ameenda kwao kwa ajili ya maandalizi ya mazazi,badae alirudi Musoma.
Miaka hiyo ya 1980-82,huyu mama alipata mtoto mwingine wa kiume na badae Mzee juma aliacha kazi na kuwa fundi seremala kwa muda na inavyosadikika alirudi kwao Masasi-Mtwara na baada ya hapo taarifa zake hazikupatikana tena.
Tumejitahidi sana kufatilia hadi kazini kwake hatukufanikisha na pia kupitia hapa jukwaani bado hatujampata na hivyo kupitia binti yake huyu au kijana wake kama wapo au ata (wajukuu) wake kwani kwa sasa wanaweza kuwa ni watu wazima na pengine wakawa watumiaji wa JF.
Naomba wajitokeza kwani kuna ndugu yao anawatafuta muda mrefu.Asanteni