National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
- Thread starter
-
- #361
ππππ Bunju B hapo tu, alafu uzuri tupo hapa NDC sasa hivi tunatokea hapo ... vi wine wala usijali shemejiBunju bπ..pitieni na ka wine shangazi nipate kulalaπ
Njaa...usicheze na njaa mzee kakaKumekucha kumekuchaπ€£π€£π€£
Mrs Thabo Bester
Chaka langu hilo..ππππ Bunju B hapo tu, alafu uzuri tupo hapa NDC sasa hivi tunatokea hapo ... vi wine wala usijali shemeji
NDC wanachoma nyama murua kabisaππππ Bunju B hapo tu, alafu uzuri tupo hapa NDC sasa hivi tunatokea hapo ... vi wine wala usijali shemeji
NDC?Chaka langu hilo..
Sijui kwa nn hawataki kujisema waoHuyo jamaa pamoja na kipato na elimu yake hana simu? Mbona unampostia wewe?
Mkuu sema tu ni wewe, usije na gia za kumsingizia jamaa yako
Wakati nakaa kipande cha bahari beach.. daily nilikuwa hapo.. kuna wahudumu walikuwa wananipendaa sanaa yani ,π π π π ... fanya ku share coordinate point tufike hadi getini tusikumbue kuuliza uliza shemChaka langu hilo..
Kumbe una papataa... daily nilikuwa naenda kula pale aisee..NDC wanachoma nyama murua kabisa
Sasa hiv nipo fit hatari....vipi rafiki jioni.. karibu hapa tupate hata tangawizi . vipi hujaanza zoezi la kukimbia niwe nakupitia asubuhi π
Tulia mzee baba msimuharibie muwindajiSijui kwa nn hawataki kujisema wao
Huendda unatoa tip sana...we unanifaa shemu...vichenji chenji π€£...mje aisewananipendaa
Ni poja ya sehemu yangu mara chache ni salama sana paleKumbe una papataa... daily nilikuwa naenda kula pale aisee..
ndio asubuhi tuwe tunafanya wote nakufundisha na mazoezi mengine ππSasa hiv nipo fit hatari....
Six pack inajitokeza kabisa
Namba unayopiga haipo...usiniudhi kesho nikakitumia hela ya rent shemπ€£NDC?
Ushindi wetu huanzia pale...keep changeHuendda unatoa tip sana...we unanifaa shemu...vichenji chenji π€£...mje aise
ππNDC wanachoma nyama murua kabisa
Nimwambie awashe? Jaribu tenaNamba unayopiga haipo...usiniudhi kesho nikakitumia hela ya rent shemπ€£
π π uzuri wahudumu wakikupenda .. utapewa huduma nzuri sana.. kila mahala huwa nikienda huwa natafita good uhusiano na wahudumu wawili watatu.. huwa nakuwa napata vyote navyotaka ... usijali leo mda si mrefu tunaingia hapo kwako kaa mkaao wenyeweHuendda unatoa tip sana...we unanifaa shemu...vichenji chenji π€£...mje aise