Asijipe stress hata kidogo, mwambie wakati sahihi ni wa Bwana, atulizane atakuja mwanaume wa kumfaa.Ooh baso she is uncomfortable anaona kachelewa namuombea Mungu ampe mume kwanza kabla hata ya mimi unless si mapenzi ya Mungu ye kuolewa
Pastor ERoniπAsijipe stress hata kidogo, mwambie wakati sahihi ni wa Bwana, atulizane atakuja mwanaume wa kumfaa.
Hujatosheka kuwala dada zangu wa jf?N:B Picha hazitakiwi, kinachotakiwa mawasiliano tu.
Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza (life partner). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu..
Sifa zake :
Ajira : Ni mtaalamu wa miradi wa kujitegemea
Kipato : Jamaa ana kipato kizuri (daraja la kati)
Elimu : Ana mawe mawili
Makazi : Dar es Salaam
Imani : Roman Catholic
Haiba: Yupo kama bodyguard wa JPM yule black, sio mlevi, hapendi mademu, mpole sana , hatumii fegi.
Sifa za mwanamke:
Naona awe mwanamke yoyote macho ya jamaa yatachuja atapokutana nae muhusika..
kikubwa awe ni mwanamke .
Asante, kwa mdada ataekuwa tayari anicheki PM nitawaunganisha na jamaa moja kwa moja.
Aaah wapi tufana sana tuMlokole kudinyana mpk ndoaππ
Vibaya hivyoShemu gani tena jamani π
Usinitie lawama πππππVibaya hivyo
OyaaaπππAaah wapi tufana sana tu
NipoAsante mdogo wangu, ila na wewe umepoa sana siku hizi.
Vibaya hivyoUsinitie lawama πππππ
Imekuwaje ukawa msomaji ghalfa tu Anne? Ngoja kwanza.....πNipo
Huwa sanasana nasoma
Majukumu yamekuwa mengi
Mjukuu naona umepania kupata babuπ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Imekuwaje ukawa msomaji ghalfa tu Anne? Ngoja kwanza.....[emoji3]
Kwenye uzi wa warembo hujapata?N:B Picha hazitakiwi, kinachotakiwa mawasiliano tu.
Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza (life partner). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu..
Sifa zake :
Ajira : Ni mtaalamu wa miradi wa kujitegemea
Kipato : Jamaa ana kipato kizuri (daraja la kati)
Elimu : Ana mawe mawili
Makazi : Dar es Salaam
Imani : Roman Catholic
Haiba: Yupo kama bodyguard wa JPM yule black, sio mlevi, hapendi mademu, mpole sana , hatumii fegi.
Sifa za mwanamke:
Naona awe mwanamke yoyote macho ya jamaa yatachuja atapokutana nae muhusika..
kikubwa awe ni mwanamke .
Asante, kwa mdada ataekuwa tayari anicheki PM nitawaunganisha na jamaa moja kwa moja.
Hongera kwa kupata ujasiri wa kufanya biashara, lakini hilo la kuwa na boyfriend/girlfriend huwa linawafanya wengi ku-lay low, na nilihisi namna hiyo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeolewa
Kwahiyo nimeacha fujo,Mume wangu yupo humu.
Halafu pia nafanya biashara humu.
Siwezi gombana na watu ambao pengine nj wateja wangu.
katika hatua zote hizo atakuwa anaM,LA au anamwangalia tuN:B Picha hazitakiwi, kinachotakiwa mawasiliano tu.
Kuna rafiki yangu, anatafuta mwenza (life partner). Mwanamke alie serious aje PM nipe connection na huyo rafikia yangu..
Sifa zake :
Ajira : Ni mtaalamu wa miradi wa kujitegemea
Kipato : Jamaa ana kipato kizuri (daraja la kati)
Elimu : Ana mawe mawili
Makazi : Dar es Salaam
Imani : Roman Catholic
Haiba: Yupo kama bodyguard wa JPM yule black, sio mlevi, hapendi mademu, mpole sana , hatumii fegi.
Sifa za mwanamke:
Naona awe mwanamke yoyote macho ya jamaa yatachuja atapokutana nae muhusika..
kikubwa awe ni mwanamke .
Asante, kwa mdada ataekuwa tayari anicheki PM nitawaunganisha na jamaa moja kwa moja.