Anatafutwa mpenzi baadaye aje kuwa mke

Hujatosheka kuwala dada zangu wa jf?

Haya peleka moto kijana
 
Imekuwaje ukawa msomaji ghalfa tu Anne? Ngoja kwanza.....[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeolewa
Kwahiyo nimeacha fujo,Mume wangu yupo humu.

Halafu pia nafanya biashara humu.
Siwezi gombana na watu ambao pengine nj wateja wangu.
 
Kwenye uzi wa warembo hujapata?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeolewa
Kwahiyo nimeacha fujo,Mume wangu yupo humu.

Halafu pia nafanya biashara humu.
Siwezi gombana na watu ambao pengine nj wateja wangu.
Hongera kwa kupata ujasiri wa kufanya biashara, lakini hilo la kuwa na boyfriend/girlfriend huwa linawafanya wengi ku-lay low, na nilihisi namna hiyo.
 
katika hatua zote hizo atakuwa anaM,LA au anamwangalia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…