Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
ni kweli na najua pia,,ila jamani kuchinja kwel hebu imagine,,sema mabos nao wapumbavu yani wanamtesa then wanamwachia mtotoSio sahihi ila maudhi ya mabosi yanakirihisha,hujui tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni kweli na najua pia,,ila jamani kuchinja kwel hebu imagine,,sema mabos nao wapumbavu yani wanamtesa then wanamwachia mtotoSio sahihi ila maudhi ya mabosi yanakirihisha,hujui tu
namna hiyo 😂kigoma sikuhizi ndo kuna pisi kali hivi...!! kitoto kama hicho kilitakiwa kipate mtu kama mimi kiwe busy mapenzi hata kisingehangaika kufanya tendo lakikatiri kiasi hicho!
unauhakika ni kweli amechinjaSura nzuri roho mbaya and vice-versa is true.
Hatari sana
Saidia kusambaza picha hii apatikane huyu Binti.
Amemchinja mtoto wa boss wake Goba, mtoto wa miaka minne. Toa taarifa kituo chochote cha Polisi kilicho karibu pindi umuonapo.
Au piga namba.
0654987034/0718359947
---
Dada wa kazi aliyejulikana kwa jina la Clemensia Cosmas (19) mkazi mwenyeji wa Kasulu, Mkoani Kigoma, amemchinja shingoni na kumkata komoreo mtoto wa mwajiri wake Maliki Hashimu(6) maeneo ya Goba kwa Wakutili kisha kutokomea kusikojulikana
View attachment 3044353
View attachment 3044346
mi sijui kukera ndugu na hata kama nikimkera hawezi kuchagua anikate koromeo akose utamu!namna hiyo 😂
siku ungekikera kiondoke na hiyo koromeo hapo au angerukia mabumbu kama nyani 😂
Sasa mtoto anayajua hayo....si bora amvizie bosi wake akiwa amesinzia amkate tena shingo kabisa?Sio sahihi ila maudhi ya mabosi yanakirihisha,hujui tu
Kuna Siri ipo nyuma ya pazia acha Polisi waje na maelezo watasema tu nini kimesababishani kweli na najua pia,,ila jamani kuchinja kwel hebu imagine,,sema mabos nao wapumbavu yani wanamtesa then wanamwachia mtoto
Unataka kusema?unauhakika ni kweli amechinja
Labda MkuuMmmh nadharia yako haiingii akilini mkuu.
Sio rahisi kumshambulia bosi labda amuwekee sumuSasa mtoto anayajua hayo....si bora amvizie bosi wake akiwa amesinzia amkate tena shingo kabisa?
Inapaswa kuwa hivyo mkuu lakini kuna mazingira yanalazimu utafute msaidizi. Baba na mama wote wanadamka asubuh kutafuta shilingi lazima watafute msaidiz unless tuige utaratibu wa waarabu mama ni mtu wa kutunza familia tu no kufanya kaziSwala sio kujua Historia swala ni kwamba Lea mtoto wako, tunazidiwa akili na wanyama kwenye swala la kulea watoto.
House girl hawesi kuwa mama,
Inaumiza sanakomoreo
Nilimsikiliza mama mkubwa wa dogo anasema wakati mama kumbeba mwanaye kabla mauti akasema dada ndiyo amenikata shingonisio kaangushiwa jumba bovu? mbona katoto kametulia kweli haka kanaweza kuchinja hata kuku?