Anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa kumchinja mtoto wa mwajiri wake

Anatafutwa na Jeshi la Polisi kwa kumchinja mtoto wa mwajiri wake

Mara nyingi wanawake wanawanyanyasa house girls na wanakuwaga na mdomo sana kuwasimanga house girls wanajiona wao ndyo ma boss wakati mshahara wa huyo housegirl analipa mwanaume,
Hii kitu nadhani huwa ni chanzo pia,Wananwake mnaoishi na mahouse girl kuweni na huruma na watoto wa watu ninyi ndiyo mnapandikiza chuki kwa hao mabinti wa kazi..
Hawaelewagi hawa, wakiulizwa watasema nilikua naishi nae kama mdogo wangu kumbe uongo mtupu.

Si ajabu dharau zilizodi wakamuambukiza hadi mtoto kua anamjibu vibaya na hamuheshimu dada wa kazi.
 
Kamchinja au kamjeruhi Kwa kumkata na kisu shingoni?maana tunaambiwa mtoto anaendelea vizuri hospital,neno kuchinja maana yake ni kutenganisha kichwa na kiwiliwili kwenye eneo la shingoni kutumia kisu au panga
Neno sahihi jingine lingekuwa ni kujaribu kumchinja Kwa kutumia kisu....
 
NIMEFUATILIA HUYU MTOTO HAJAFARIKI ANAPATIWA MATIBABU
HOSPITALI YA MUHIMBILI
BAADA YA KUHAMISHWA KUTOKA KATIKA HOSPITALI YA MLOGANZILA.
Dah Mungu Mkubwa ... Ahsante kwa taarifa
 
Saidia kusambaza picha hii apatikane huyu Binti.

Amemchinja mtoto wa boss wake Goba, mtoto wa miaka minne. Toa taarifa kituo chochote cha Polisi kilicho karibu pindi umuonapo.

Au piga namba.

0654987034/0718359947

---
Dada wa kazi aliyejulikana kwa jina la Clemensia Cosmas (19) mkazi mwenyeji wa Kasulu, Mkoani Kigoma, amemchinja shingoni na kumkata komoreo mtoto wa mwajiri wake Maliki Hashimu(6) maeneo ya Goba kwa Wakutili kisha kutokomea kusikojulikana
View attachment 3044353

View attachment 3044346

Saidia kusambaza picha hii apatikane huyu Binti.

Amemchinja mtoto wa boss wake Goba, mtoto wa miaka minne. Toa taarifa kituo chochote cha Polisi kilicho karibu pindi umuonapo.

Au piga namba.

0654987034/0718359947

---
Dada wa kazi aliyejulikana kwa jina la Clemensia Cosmas (19) mkazi mwenyeji wa Kasulu, Mkoani Kigoma, amemchinja shingoni na kumkata komoreo mtoto wa mwajiri wake Maliki Hashimu(6) maeneo ya Goba kwa Wakutili kisha kutokomea kusikojulikana
View attachment 3044353

View attachment 3044346
 
kuwe na sheria Kali ya kuajiri mdada wa kazi.
Sio unatuma tu nauli uletewe mdada wa kazi hata kwao haupajui.
Kumbe Wana matatizo ya akili ukoo wao
 
Back
Top Bottom