Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu usikariri kila house maid anayefanya tukio basi yeye naye kafanyiwa tukio.
Big NO,wengine nahisi kama sio hawana akili vizuri basi washirikina.
Niliwahi shuhuda mdada wa kazi wa jamaa yangu kipindi tuko O level eti anajaribu kumchoma mtoto na pasi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Mie nahisi wapimwe akili hawa.
Bibi njoo taratibu.mtoto hajakatwa kabisa.na Kwa bahati nzuri Yuko hospital anapambania uhai wakeInna li Llahi wa inna Ilayhi Rajiun.
Wenzio wanataka wadogo wadogo Ili wawamanipulate vizuri na kuwacontrol vema.pia hawataki wakubwa sababu wanaishi na waume zao watawaibia😄Mimi ndio maana nilishakataa kabisa wadada wa kazi wadogo, nawachukua wadada walionizidi umri na wenye watoto, kiasi wanakuwa na upendo na huruma kwa watoto tofauti na hawa mabinti wadogo.
Mabalaa mengine hayakwepeki ila ni vyema kuchukua tahadhari.
Mungu ampe nafuu mtoto mapema, Amen.
Si maboss wote, kuna wafanyakazi wengine hata uwatreat vizuri vipi hawana shukurani mwisho wa siku ni kukuumiza tu.👏👏👏👏
Nimeunga hoja hakika wanakosea sana mfanyakazi kumnyanyasa nakuwacheleshea mishara+ kuwabagua unadhani hili nijambo zuri?
Watu wabadilike tuwe naupendo.
Si tulishakubaliana kwamba Uchawi haupo au?Huyo mdada atakuwa na imani za kishirikina, maana huo mkoa wa Kigoma watu wana mtindio wa ubongo! Inaumiza sana aisee, shenzi kabisa huyo dada!!
Hiyo haimaanishi wajinga wajinga wenyewe imani hizo hawapo..Si tulishakubaliana kwamba Uchawi haupo au?
Waha bwanaSaidia kusambaza picha hii apatikane huyu Binti.
Amemchinja mtoto wa boss wake Goba, mtoto wa miaka minne. Toa taarifa kituo chochote cha Polisi kilicho karibu pindi umuonapo.
Au piga namba.
0654987034/0718359947
---
Dada wa kazi aliyejulikana kwa jina la Clemensia Cosmas (19) mkazi mwenyeji wa Kasulu, Mkoani Kigoma, amemchinja shingoni na kumkata komoreo mtoto wa mwajiri wake Maliki Hashimu(6) maeneo ya Goba kwa Wakutili kisha kutokomea kusikojulikana
View attachment 3044353
View attachment 3044346
NIMEFUATILIA HUYU MTOTO HAJAFARIKI ANAPATIWA MATIBABUNilimsikiliza mama mkubwa wa dogo anasema wakati mama kumbeba mwanaye kabla mauti akasema dada ndiyo amenikata