Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Hawaelewagi hawa, wakiulizwa watasema nilikua naishi nae kama mdogo wangu kumbe uongo mtupu.Mara nyingi wanawake wanawanyanyasa house girls na wanakuwaga na mdomo sana kuwasimanga house girls wanajiona wao ndyo ma boss wakati mshahara wa huyo housegirl analipa mwanaume,
Hii kitu nadhani huwa ni chanzo pia,Wananwake mnaoishi na mahouse girl kuweni na huruma na watoto wa watu ninyi ndiyo mnapandikiza chuki kwa hao mabinti wa kazi..
Dah Mungu Mkubwa ... Ahsante kwa taarifaNIMEFUATILIA HUYU MTOTO HAJAFARIKI ANAPATIWA MATIBABU
HOSPITALI YA MUHIMBILI
BAADA YA KUHAMISHWA KUTOKA KATIKA HOSPITALI YA MLOGANZILA.
Saidia kusambaza picha hii apatikane huyu Binti.
Amemchinja mtoto wa boss wake Goba, mtoto wa miaka minne. Toa taarifa kituo chochote cha Polisi kilicho karibu pindi umuonapo.
Au piga namba.
0654987034/0718359947
---
Dada wa kazi aliyejulikana kwa jina la Clemensia Cosmas (19) mkazi mwenyeji wa Kasulu, Mkoani Kigoma, amemchinja shingoni na kumkata komoreo mtoto wa mwajiri wake Maliki Hashimu(6) maeneo ya Goba kwa Wakutili kisha kutokomea kusikojulikana
View attachment 3044353
View attachment 3044346
Saidia kusambaza picha hii apatikane huyu Binti.
Amemchinja mtoto wa boss wake Goba, mtoto wa miaka minne. Toa taarifa kituo chochote cha Polisi kilicho karibu pindi umuonapo.
Au piga namba.
0654987034/0718359947
---
Dada wa kazi aliyejulikana kwa jina la Clemensia Cosmas (19) mkazi mwenyeji wa Kasulu, Mkoani Kigoma, amemchinja shingoni na kumkata komoreo mtoto wa mwajiri wake Maliki Hashimu(6) maeneo ya Goba kwa Wakutili kisha kutokomea kusikojulikana
View attachment 3044353
View attachment 3044346