Tatizo limeanzia pale alipokua mwalimu kiufupi anaweza kua njema ila asione waalimu ni useless akili hawana kabisa.Unamaanisha kwamba hajui hesabu au. Yani mtu anamiliki trekta na ekari zote hizo, tena umesema kuna mvua ya uhakika. Amevuna guni ulizotaja na baada ya kuuza kapata pesa inayozidi kiinua mgongo cha mwalimu kwa sasa. Halafu bado hajajua afanye nini? Ama kweli akili ni nywele, kila mmoja kapewa zake!
mwambie aendelee kugombania posho za kusimamia na kusahihisha mitihani.
Sawasawa..Aache tu!
Asipojiamini basi, Aanzishe Irrigation Scheme hata ya heka 10, ikishaanza kuwa productive aachane na hiyo Ajira.
Ajira ni Maigizo katika Kuishi.
PointAfuate tu pale moyo wake unapomuelekeza kuwa"
Umri wake?Ujue moyo unaeza kukuelekeza kumbe pabovu mkuu
Na ukitaka tajiri?Ukitaka kuwa maskini nchi hii kuwa mkulima.
Wilaya mkoa gani huko?Amenunua mashamba kusini Bei bado ni ndogo heka haizd 70000
SongeaWilaya mkoa gani huko?
Chonde chonde asinunue mashine za kusaga nyingi zitamgharimu sana, mashine Moja ni zaidi ya 9Millioni , return yake ni less than 10,000/ hapo hujatoa gharama za umeme jengo Mfanyakazi,.Mrejesho. Kwanza nawashukru Sana kwa michango yenu nimeunganisha mawazo yenu nikamwambia asiache kwanza kaz afanye namna afungue mashine za kusaga nafaka sehem mbali mbali especially vijjn ña ahakkshe znmwngzia walau 1m kwa mwez nje na mapato yake ya mashamban! Ahsanten
Mkuu, Kwan ww ukiombwa ushaur huwa unawaachia wenyewe?Mambo yake muachie mwenyewe...
Uko vzr Sana Kaka ngj nmwambie Kisha nitakupa mrejeshoChonde chonde asinunue mashine za kusaga nyingi zitamgharimu sana, mashine Moja ni zaidi ya 9Millioni , return yake ni less than 10,000/ hapo hujatoa gharama za umeme jengo Mfanyakazi,.
Mshauri aweke Mashine ya Mpunga Songea Kuna eneo Moja tunduru wanaolima Mpunga sana, mashine za Mpunga Zina Hela sana ukiwa tayari nikuunganishe na Jamaa zangu wasukuma wapo KM 90 kutoka hapo mjini songea wanaolima mpunga
Hiz za kukoboa mpunga size ndogo inaeza kuwa Bei ganUko vzr Sana Kaka ngj nmwambie Kisha nitakupa mrejesho