Anataka kumleta ndugu yake wakati anajua tunaishi kwenye chumba kimoja na pia anaongea na mwanaume mwingine saa nne usiku

Anataka kumleta ndugu yake wakati anajua tunaishi kwenye chumba kimoja na pia anaongea na mwanaume mwingine saa nne usiku

Rosemin

Member
Joined
May 21, 2023
Posts
70
Reaction score
532
Kuna mambo yanakera sana aisee yaani mtu unamuambia mimi na wewe tunakaa chumba kimoja na bado anataka kumleta ndugu yake na halafu mimi bado sijajipanga kiuchumi na ukimuelekekeza anasema mimi sitaki ndugu zake

Na ananiambia yeye kuwaleta ndugu zake si laxima aniambie mimi yeye anawaleta tu nimemjibu Wewe kama unatoa wewe chakula basi mlete na kama wewe pia unanitegemea mimi basi ole wako umlete

Na chakushangaza pia anaongea na wanaume wengine usiku wa saa nne na kusingizia ni ndugu zake ukimuuliza hao ni nani anajibu ni ndugu zake na ukimkaripia anasema utanikatazaje kuongea na ndugu zangu? Wakuu hii ni.utaratibu kweli? Kama ndoa yenyewe ndiyo hii i' m off for while.
 
Mzeee move mwachie kila kitu beba begi lako kaanze upya 2024 hatuna muda wa kulea taka taka zisizojielewa.... hakikisha mambo Yako yamekaa sawa ndo uanze kuwaza ndoa.....sasa we mapema unakimbilia kuoa na bado hujajipata?
 
Daah hivii wanawake wa hivi huwa mnawatoa wapi??? Bora mwanamke akutukane ujue moja ila hayo matusi na dharau anazokufanyia kiufupi alitakiwa awepo hospital kalazwa sema kakutana na jamaa Boyaaa.
Hawa ni vijana wasiojitambua na wanaoigiza maisha. Wanajifanya wafilipino hao ndio maana wanafanywa hivi. Hivi hiyo jeuri ya mwanamke kukuambia hivyo inaanzia na kutokea wapi? Alafu bado unaishi naye? Pumbavu kabisa huyu mleta thread.
 
Hawa ni vijana wasiojitambua na wanaoigiza maisha. Wanajifanya wafilipino hao ndio maana wanafanywa hivi. Hivi hiyo jeuri ya mwanamke kukuambia hivyo inaanzia na kutokea wapi? Alafu bado unaishi naye? Pumbavu kabisa huyu mleta thread.
Achaa aburuzwee maana ni falaaa
 
Kuna vitu vingine ukisoma, huwezi amini kama kuna mwanaume anaweza kufanyiwa.
 
Back
Top Bottom