Abby Uladu
JF-Expert Member
- Dec 16, 2022
- 2,194
- 4,549
Kuna watu bila ushauri maisha yao hayaendi poa.Hivi duniani kuna wanaume wa namna hii. Sasa kitu kama hiko ni cha kuomba ushauri? Una miaka mingapi wewe?
Ndio maana kuna watu tumesomea kwaajili ya kiwashauri watu kama hao