Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
Umeandika hapo juu ndoa ni nini?Miwani yangu imevunjika.Kushnehi ghaega!Ni miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one .
Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja .
Moyo wangu japo nina mpenda ila nikikumbuka dharau ,manyanyaso ,maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana maana ndoa si watu wawili tu mke na mume bali ni muunganiko wa familia mbili . Ila nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu .
Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha ?
Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto ?
Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume ?
Au anataka arudi kunimaliza kabisa ?
Maana aliondoka kwa kishindo sana
Hahahaaaa!Umeandika hapo juu ndoa ni nini?Miwani yangu imevunjika.Kushnehi ghaega!
Wewe umemuelewa boss?Hahahaaaa!
Ni muunganiko wa familia mbili japo mke na mume ndio ubeba muunganiko uwoUmeandika hapo juu ndoa ni nini?Miwani yangu imevunjika.Kushnehi ghaega!
Tulifata sheria kabisaMlikuwa mnaishi kama Mke na Mume mliooana Kisheria au kwa taratibu za kiimani? Au mliokotana tu?
Kustuana muhimu shukraniMama mzazi ndio habadiliki.. Mke anabadilishwa shetani linataka lije kukutoa roho ilo kimbia mbona we mjanja ila we unakuwa fala ivyo?
Kuna shida kidogo, ila kaeleweka kimtindoWewe umemuelewa boss?
Yeah ni kweliUgumu wa maisha ndio unamrudisha..kama unampenda msamehe na mpokee mlee familia yenu kwa pamoja