Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Kwenye sayari ipi?Hapa kijijini kwetu tumeigomea hiyo tafsiri yako kuhusu ndoa tangu jana asubuhi bin lukwili!Ni muunganiko wa familia mbili japo mke na mume ndio ubeba muunganiko uwo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye sayari ipi?Hapa kijijini kwetu tumeigomea hiyo tafsiri yako kuhusu ndoa tangu jana asubuhi bin lukwili!Ni muunganiko wa familia mbili japo mke na mume ndio ubeba muunganiko uwo
Sielewi kabisa anamtumia mtoto kama njia ya kurudiNikifikiria ndo naelewa kwamba maisha ni magumu kwelikweli..... Sasa hapa ishu ya mtoto lazima ikuweke njia panda, na pia unaweza ukamrudia na akakumaliza. Mungu akutangulie 😂
Kwamba ndoa ni muunganiko wa familia mbili?Kuna shida kidogo, ila kaeleweka kimtindo
Nimekuelewa ila shida alizonipitishaAcha ujinga wewe hapo inatakiwa ushukuru MUNGU umetoka kwenye giza, endelea na maisha yako wewe
Bloo tolo,toa maoni kuhusu ndoa inavyokuwa muunganiko wa familia mbili.Utajua mwenyewe bloangu
Ndoa mke na mume ila ndoa itakuwa ngumu kama upande wa mke au mume kutakuwa na utofauti ivyo ndivyo ninavyo amini mimiKwenye sayari ipi?Hapa kijijini kwetu tumeigomea hiyo tafsiri yako kuhusu ndoa tangu jana asubuhi bin lukwili!
Hamna namna, mtoto ni wa muhimu....Sielewi kabisa anamtumia mtoto kama njia ya kurudi
Ndio mana nimekwambia hapo hamna mke mkuu utakuja kupigwa kisu upo usingiziniKustuana muhimu shukrani
Nawaza sana apo maana yeye ataki niwasiliane na mtoto au niwe karibu na mtoto mpaka ilo lengo litimieHamna namna, mtoto ni wa muhimu....
Amejua udhaifu/sehemu ya kukupigia.Ukijilegeza unakufa huku unaomba uji.Nawaza sana apo maana yeye ataki niwasiliane na mtoto au niwe karibu na mtoto mpaka ilo lengo litimie
Ndugu zako wanakushaurije kaka....Nawaza sana apo maana yeye ataki niwasiliane na mtoto au niwe karibu na mtoto mpaka ilo lengo litimie
Mueleze huyo.Familia mbili kivipi?
Ndoa ni muunganiko wa Watu wawili tu.
Sababu ya kuondoka maisha kubadilikaSababu za kuondoka n nn?
Tuanzie hapo kwanza
Ili suala sijalipeleka kwa ndugu zangu maana watashangaa sana hali niliyoipitia ni ngumu nilikonda sanaNdugu zako wanakushaurije kaka....