Blaszczykowski
JF-Expert Member
- Dec 20, 2022
- 310
- 1,100
- Thread starter
- #41
Tena anakuja kwa mashartiAmejua udhaifu/sehemu ya kukupigia.Ukijilegeza unakufa huku unaomba uji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena anakuja kwa mashartiAmejua udhaifu/sehemu ya kukupigia.Ukijilegeza unakufa huku unaomba uji.
Wewe bado unahisi kumhitaji bado??Ili suala sijalipeleka kwa ndugu zangu maana watashangaa sana hali niliyoipitia ni ngumu nilikonda sana
Aliniomba turudiane na kuniambia tuweke pamba masikioni maana anajua kitakachotokea nikiwaeleza ndugu zanguWewe bado unahisi kumhitaji bado??
Niliambiwa vitimbwi vya mwanamke ni hatari kuliko ata vya shetaniAnarudi kukumaliza, seriously
kaka hujajibu swali, bado unamhitaji??Aliniomba turudiane na kuniambia tuweke pamba masikioni maana anajua kitakachotokea nikiwaeleza ndugu zangu
UtaumiaNiliambiwa vitimbwi vya mwanamke ni hatari kuliko ata vya shetani
Bigg Yeskaka hujajibu swali, bado unamhitaji??
Naona Jela au kifo nikiwaza sanaA,B,C,D hadi E yote sawa. Ishi kwa umakini mkuu
Kumbe,bas kafie penz mkuuBigg Yes
Mkuu hii ni ngumu mno.....ila nakushauri jikabidhi kwa Mungu, hii hali inaeza fanya ukafa.... 😂Bigg Yes
Sasa kuna shida kuna kauli na maneno kutoka kwa ndugu zake baada break up nikiwaza naishiwa nguvu inaweza yakatokea matatizo mengine nikashindwa kuyapeleka wapiKumbe,bas kafie penz mkuu
Sasa hayo unajua wewe,sisi tumeshauri tumemalizaSasa kuna shida kuna kauli na maneno kutoka kwa ndugu zake baada break up nikiwaza naishiwa nguvu inaweza yakatokea matatizo mengine nikashindwa kuyapeleka wapi
Hapa unachangamsha genge tuBigg Yes
Mzee kuna vikwazo bado nipo njia panda kuna vitu nikiviwaza alivyonitendea naona moto ule paleHapa unachangamsha genge tu
Cheki qrt no 54 nimetoa sababuHapa unachangamsha genge tu