Anataka kurudi baada ya kukimbilia kwao

Anataka kurudi baada ya kukimbilia kwao

Wanasema wataalamu kuwa kama mwanamke akichit na ukajua na akaondoka usirudiane naye kama maisha yangu aya mafupi nimeona wanaume watatu waliachwa kwa kebei bdaye wanawake wakajirudisha kilichofuata mmoja tulimzika mwaka juzi uyu mwingine yupo kama zuzu anataka kuchanganyikiwa
Akiiiii nimecheka kwanguvu sana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
 
Na hutaelewa hadi akupige tukio LA pili wanaume dhaifu ndyo hurudi kwa wale waliiowaacha na kusingizia watato watateseka ila wanaume jasiri husonga mbele na kuendelea kula mema ya nchi
Mkuu we Kiboko
U have nailed it all😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Wanasema wataalamu kuwa kama mwanamke akichit na ukajua na akaondoka usirudiane naye kama maisha yangu aya mafupi nimeona wanaume watatu waliachwa kwa kebei bdaye wanawake wakajirudisha kilichofuata mmoja tulimzika mwaka juzi uyu mwingine yupo kama zuzu anataka kuchanganyikiwa
Daaa
 
Fuata moyo wako mkuu, hayo mambo ni magumu kweli kweli kutafuta ushauri kwa watu, wote wapo sawa kulingana na experience zao.
 
Japo huwa siwaamini Wanawake sana

But mchukue tu mlee mtoto.

But kuwa mwangalifu na hakikisha this time una take over madaraka yako kikamilifu utakaloamua hakuna kubishana atake asitake.

This time uwe mbabe maana inaonesha ulimpa uhuru sana Wanawake ukiwapa democracy wanakuwa vichaa ghafla.
 
Mkuu Roho yako inasemaje??
Huyo mke wako ni mtu wa hasira za karibu??
Roho yangu bado simuamini .Yes ni mtu wa hasir
Kwani alivyoondoka hiyo miezi minne aliwezaje? Kama anarudi ili kupata unafuu wa maisha bora yaishe tu maana hapo hakuna upendo
Familia yake pia ilichangia naona alivyotegemea tofauti maana kila mtu now ana deal na maisha yake
 
Japo huwa siwaamini Wanawake sana

But mchukue tu mlee mtoto.

But kuwa mwangalifu na hakikisha this time una take over madaraka yako kikamilifu utakaloamua hakuna kubishana atake asitake.

This time uwe mbabe maana inaonesha ulimpa uhuru sana Wanawake ukiwapa democracy wanakuwa vichaa ghafla.
Umeongea ukweli yeye alikuwa na sauti sana na nilimpa uhuru wa kupitiliza ndicho kimenigharimu
 
Ni miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.

Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.

Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?

Maana aliondoka kwa kishindo sana.
Matapishi hayalambwi ni SUMU
 
Ni miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.

Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.

Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?

Maana aliondoka kwa kishindo sana.
Kwanza pole mkuu pili kuwa makini sana na uyo mkeo siwez sema usimsamehe au umsamehe ilo lipo juu yako ila kuwa makini na

ZINGATIA HAYA:
* Kama ndo umeanza tafuta mali za kudumu mf. Nyumba,kiwanja n.k kama mama ako mzaz yupo andika majina yake afu yy ndo awe kama amekurithisha hizo mali zako.

*Kama ukimrudia usimshirikishe mambo yako muhimu ila mpende kwa kawaida sana

* Kama mkirudiana usije zngumzia namna alivo ondoka kukumbushia lolote pia vyote alivyo ondoka navyo mwambie aviache kwao aje na nguo zake tu

* Mpangie namna ya kusafir hasa kwenda kwao iwe kwa kher au matatzo
 
Ni miezi 4 sasa tokea mke wangu kukimbia na kuondoka na vitu na kuniacha kama nipo form one. Sasa anataka kurudi ili tuanze maisha mapya kwa sababu tulibahatika kupata mtoto mmoja.

Moyo wangu japo ninampenda ila nikikumbuka dharau, manyanyaso, maneno ya shombo kutoka kwa upande wa kwao nawaza sana. Maana ndoa si watu wawili tu yaani mke na mume, bali ni muunganiko wa familia mbili.

Nina maswali mengi sana ambayo hayana majibu;
~ Anarudi kwangu kwa ugumu wa maisha?
~ Anarudi kwangu kwa ajili ya kulea mtoto?
~ Anarudi kwangu amejifunza kuthamini mume?
~ Au anataka arudi kunimaliza kabisa?

Maana aliondoka kwa kishindo sana.
ww n kiazi fullstop.
 
Back
Top Bottom