Muache aishi maisha yake na wewe ishi yako usimlaumu kama unampenda oa uendelee pale mlipoishia miaka 10 umzeeshe na Bado pengine hukuwa na mpango naye, ungesema labda hata barua ya posa ulimtolea tungeamini alikuwa Kwenye mipango yako.Si bora angebeti kwangu kuliko huko alikoenda
Wanawake shida huwa maono yao mwisho ni zilipoishia pua zao.Tulidumu karibu miaka 10, nia yangu ilikiwa ni kumuoa ila baada ya kukamilisha mipango niliyojiwekea, ilipobaki miezi michache tuoane akanikalisha chini akaniambia kuwa hawezi kuendelea kuwa na mimi.
Ikabidi niheshimu mawazo yake japo roho iliniuma mpaka kufikia hatua nikawa napata maumivu kwenye moyo.
Nakumbuka kuna siku nilikuwa namfuatilia kwenye facebook nikitamani kujua aliyenipiku ananini kunizidi, nikakuta kamposti jamaa fulani mfupi kapiga picha mbele ya rav 4, roho iliniuma sana na ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kukosa usingizi mpaka asubuhi, na kiherehere cha kumfuatia kikaishia palepale.
Baada ya kupita miaka mitano, Mwaka jana siku moja napeleka mzigo wa mteja mara simu ikaita kuchek namba ya airtel, kupokea anasema mimi I, nikamuambia mimi siongeagi na wake za watu akasema hajaolewa.
Akasema amenimiss anatamani kuniona tukapanga tukakutana, nilikuwa na hamu ya kuona maisha anayoishi,
Tukaenda anapoishi ni chumba kimoja kidogo kina kitanda tu na jiko la mkaa, amepauka amekonda. Akawa anampa mtoto kipande cha tikiti maji.
Hana kazi anategemea elfu 50 ya malezi ya mtoto anayopata kila mwezi kutoka kwa baba wa mtoto. Yenyewe aliipata kwa mbinde kupitia ustawi wa jamii.
Akanielezea kuwa yule mwanaume alikuwa ameoa ana watoto wa 3 na amezalisha wanawake kibao.
Akaniomba numpe nafasi awe mke bora mi nikawa namcheki tu alivyopauka.
Hivi kweli nipambanie maisha mpaka hapa nilipo alafu nioe mwanamke mwenye mtoto tena aliyenidhau.
Hakikisheni mkiacha mtu mnaenda kwa aliye bora zaidi. Ni hesabu rahisi tu.
Kwa kweli [emoji38][emoji23][emoji23] Unayajua mapenzi wewe, unaeza shangaa kesho anakuja na uzi wamerudiana [emoji1787]
Mapenzi hayashauriki etiπKwa kweli [emoji38]
Ampe hata pension yake kabisa...ππMuoe tu,ale kiinua mgongo Cha Ile miaka kumi uliyomtumia
Mipango ya kuoana ilikuwepoAcha mambo yako mkuu, yaaji manzi mmedumu miaka zaidi ya 10, huo ni uvumilivu wa kiwango gani ambao ulikua unautaka toka kwake.
Miaka 10 bro!?? Unampiga pipe tu na kwao hawajui, na yeye uhakika wa kuolewa na wewe hana.
Tatizo lilianzia kwako, umemharibia binti wa watu maisha yake kwa ubinafsi wako.
Kabisa aiseeAmpe hata pension yake kabisa...ππ
Umeoa?mbona Kama una bado unampenda?Nilishakubali yaishe ila anavyoteseka najiuliza alinikataa ili akakae na mme wa mtu
Alichoka mzee, yani miaka 10 yote mnasubiri nini!?Mipango ya kuoana ilikuwepo
π Bahati mbaya mimi si wa kishua, ila naomba hii kauli yako iwe kama dua, wanangu waje kuwa wa kishua.Sawa kwa nyie watoto wa kishua unaoa tu mda wowote, lakini sisi tukitaka kuruka lazima tuagane na nyonga.
Umejibu kinyonge. Kama vile mtoto ndo kikwazoAna mtoto
Hata mm nimeumia hivi awe dadaangu awe na ww miaka 10 unamwagia tu afu unamuacha? Ww kwann usingemzalisha fala wwKwa hiyo jumla ni miaka 15? Acheni kuwazeesha watoto wa watu. Subiri haya mnayofanya watafanyiwa watoto wenu wa kike mtaona jinsi roho inauma. Karma
Hicho kipande cha tikiti sasaππππTulidumu karibu miaka 10, nia yangu ilikiwa ni kumuoa ila baada ya kukamilisha mipango niliyojiwekea, ilipobaki miezi michache tuoane akanikalisha chini akaniambia kuwa hawezi kuendelea kuwa na mimi.
Ikabidi niheshimu mawazo yake japo roho iliniuma mpaka kufikia hatua nikawa napata maumivu kwenye moyo.
Nakumbuka kuna siku nilikuwa namfuatilia kwenye facebook nikitamani kujua aliyenipiku ananini kunizidi, nikakuta kamposti jamaa fulani mfupi kapiga picha mbele ya rav 4, roho iliniuma sana na ndo ilikuwa mara yangu ya kwanza kukosa usingizi mpaka asubuhi, na kiherehere cha kumfuatia kikaishia palepale.
Baada ya kupita miaka mitano, Mwaka jana siku moja napeleka mzigo wa mteja mara simu ikaita kuchek namba ya airtel, kupokea anasema mimi I, nikamuambia mimi siongeagi na wake za watu akasema hajaolewa.
Akasema amenimiss anatamani kuniona tukapanga tukakutana, nilikuwa na hamu ya kuona maisha anayoishi,
Tukaenda anapoishi ni chumba kimoja kidogo kina kitanda tu na jiko la mkaa, amepauka amekonda. Akawa anampa mtoto kipande cha tikiti maji.
Hana kazi anategemea elfu 50 ya malezi ya mtoto anayopata kila mwezi kutoka kwa baba wa mtoto. Yenyewe aliipata kwa mbinde kupitia ustawi wa jamii.
Akanielezea kuwa yule mwanaume alikuwa ameoa ana watoto wa 3 na amezalisha wanawake kibao.
Akaniomba numpe nafasi awe mke bora mi nikawa namcheki tu alivyopauka.
Hivi kweli nipambanie maisha mpaka hapa nilipo alafu nioe mwanamke mwenye mtoto tena aliyenidhau.
Hakikisheni mkiacha mtu mnaenda kwa aliye bora zaidi. Ni hesabu rahisi tu.
Mwanamke hawezi kukaa na MTU kwa miaka 10 Kama hampendi,Sema alihisi muda unamtupa mkono ndio akaona atafute mtu amuoe apate heshima ya ndoa bahati mbaya akaangua pua..ajali kazini