Basi hiyo nia yako alijua ni 10 yrs nyingine, hapo ulitakiwa kumposa tu au ungeenda moja kwa moja kwa kiongozi wake wa dini, lakini sio kwakuchakazana huko.Nilikuwa na nia ya kuoa kabisa mkuu, na nilimsihi sana kuwa tumetoka mbali ila alikataa.
Hahaha wanawake wapo, nilikuwa namfuatilia kipindi ameniacha.Ila we jamaa nawewe bana una matatizo.
Kwahiyo 15 years huna mwanamke mwingine, hujaoa, huna watoto nk umekaa unafuatilia maisha ya x wako facebook? Inaelekea pia mwanamke alishtuka baada ya kuishi na wewe 10 years hata katoto ka kusingiziwa hakuna, kaenda kwa mwamba chap kapigwa mimba. Jitafakari mkuu.
Mi nakushauri muoe huyo mwanamke maana inavyoelekea huna kabisa uwezo wa kupata mwanamke mwingine.
Dah hapo nilikwama,Basi hiyo nia yako alijua ni 10 yrs nyingine, hapo ulitakiwa kumposa tu au ungeenda moja kwa moja kwa kiongozi wake wa dini, lakini sio kwakuchakazana huko.
Umeona ee wakienda ndiyo huko masomoni uwiii tunaachwa solemba.Weeeh usitusingizie bwana, nyuzi zenu humu zinaonyesha mnavyotuombeaga mabaya[emoji1787][emoji1787]
Haiwezekani tena.Kama unampenda muoe japo aggregate inasoma 1-0 Unaweza ukalevel aggregate kama triple c
Hakuna Cha umama Bora mtu anatafuta pa kuhema uchumi wake.Yes siyo kila single maza hajitambui mkuu, makosa kila mtu anakosea, na kuna kujifunza kutokana na hayo. Ampe nafasi nyingine.
Awe mwenyekiti wa kamati ya harusi yanguKwa hiyo unaamuaje?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] eti ka bwana kake ha ha ha ha .Mwanamke akikuacha lazma akufatilie kila kona kuanzia whatsapp, facebook, insta yani atataka ajue una nini ama umepata demu tena. Akiona unapost majungu tu anajua kakuweza [emoji23][emoji23][emoji23]!
Ana kapost kabwana kake kenye Crown
Amejifunza kutokana na makosa yake, atakua mtu mwema mpeni nafasi tenaHakuna Cha umama Bora mtu anatafuta pa kuhema uchumi wake.
Point, ila nafurahi nikiona anateseka.Miaka kumi unamtumia tu?,Alikuona hueleweki ndio maana akaenda kwa mwingine ,Mwenye makosa ni wewe kumtumia mtoto wa watu zaidi ya miaka kumi ,Ushauri kama unampenda Mchukue muoe ,Kama humpendi angalia namna ya kumsaidia ajiinue kimaisha .BE GENTLEMEN
Mkuu embu tumia muda wako vizuri kuchakata mbususu lukuki zilizotapakaa kila kona acha kupoteza mda na na wazee mlioachana miaka 10 iliyopita.Hahaha wanawake wapo, nilikuwa namfuatilia kipindi ameniacha.
Nimeshangaa miaka kumi bila kumdunga mimbaIla we jamaa nawewe bana una matatizo.
Kwahiyo 15 years huna mwanamke mwingine, hujaoa, huna watoto nk umekaa unafuatilia maisha ya x wako facebook? Inaelekea pia mwanamke alishtuka baada ya kuishi na wewe 10 years hata katoto ka kusingiziwa hakuna, kaenda kwa mwamba chap kapigwa mimba. Jitafakari mkuu.
Mi nakushauri muoe huyo mwanamke maana inavyoelekea huna kabisa uwezo wa kupata mwanamke mwingine.
Usipende kujihusisha na wasiokuhusu.Inaelekea huko ila haifiki, na pia kwa mwanamke anayekupenda umri sio shida saana,
Aboe 35 maana kakaa nae miaka kumi,akaporwa na njemba likaka nae miaka mitano tu likamzalisha jumla inakuwa 15 ,assume alianza nae akiwa na 22,jamaa ajitafakari kwa nini hakumdunga mimba kwa miaka kumi waliyokuwa wakipelekeana motoVipi nayeye atakuwa na ngapi?
Na.huwa mnapauka kweli kweliWababa wanataka kwanza mwanamke apaukeeee asiwe na mahusiano ya kueleweka ndio furaha yao.
Ha ha ha si angefanya hiyo hiyo yakulingana na ya fundi magetiKwani jamaa angeshindwa kumuoa? Au ndo yale ya kutaka harusi kama ya Nandi na Bilnass wakati bwana wako fundi mageti?