Anataka kuwa mke bora baada ya kunidharau

Miaka 10 wakati unamkula tu....Daaa.Kwanza ana moyo sana kurudi kwako....mwambie maisha mazuri ni hayo anayoishi aache kujidhalilisha kuombaomba ndoa Kwa maex😏
Anataka nimtafutie kazi yoyote
 
Acha ujinga.Muoe.
 
Achana nae hisia zisizidi akili , cjui kipi huelew apo aanh unakera [emoji51][emoji51][emoji51] elewa ... Ubao unasoma 1-0 hutoboi umeshindwa miaka 10 utaweza sasa

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Vipi nayeye kumuweka rehani miaka 10, kama ni mtoto yupo darasa tano kabisa.
Kila mtu analinda interest zake, bibie baada ya kuona amewekwa rehani aliamua kumove on kwa hiyo utatuzi wa kuwekwa kinyumba bila ndoa kwa miaka 10 ulishafanyika.
Hapa tunajadili lililopo mbele yetu mkuu nalo ni la bibie kutaka kurudisha jeshi baada ya malengo yake huko alipokwenda kukwama.
 
Haitokaa itokee aache mawasiliano na baba wa mtoto,,kumbuka wameshea damu hapo na shida ndo inaanzia hapo,ingekua hajazalishwa angalau,lkn yule jamaa mfupi aliekuumiza miaka mitano ilopita ndio huyo huyo atakuja kukuumiza tena kwa kigezo cha kumtembelea mwanae.
 
Waafrika tumepatwa na nini?
Hizo certificate na sherehe ni mbwembwe za ziada tu...
Ndoa ni makubaliano ke na me mengine ya zoada...
So huyo dada ameivunja ndoa yake halali sababu kuchelewa kumtunikiwa certificate.

Time wasted.
Wanataka sherehe na matarumbeta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…