Anataka mwanamke mwenye dimples kwenye Mahips yake, nifanyaje?

Anataka mwanamke mwenye dimples kwenye Mahips yake, nifanyaje?

Money Penny

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
17,694
Reaction score
17,131
Kama kawa mama enu nimerudi na stori ingine tena

Leo natoka zangu kazini, nikapigiwa simu na shogangu tukutane mikocheni plaza ana stress za mapenzi

Nikaenda kumsikiliza vizuri tu, lalamiko lake kubwa ni kuwa;

Bwana wake amemuacha, kabla hajaachwa akamwuliza bwana wake, kwanini unaniacha wakati nakupenda,

Bwana: nimechoka staki kuwa na mwanamke kama wewe tena, nataka mwanamke ambae anama-Dimples kwenye Mahipsi yake, wewe Huna.

Shoga: sasa money penny hayo ma dimples kwenye mahips nayatoa wap kwanza yanafananaje? Mbona sielewi jaman hawa wanaume?

Haya wana Jamii Kubwa, mje mtueleze ma dimples kwenye mahispi ya mwanamke ndio yanakuwaje?

Me nikadhani ni hivi? Nimeweka mistake mekundu ndio dimples hizo au?
Screenshot_20240911_203335_WhatsApp.jpg
 
Unapenda sana story za kudinyana.
Ile YouTube channel yako inaendeleaje? 99% ya content zako ni ngono.
Si ningefungiwa na TCRA?
Uje utembelee utajua naendeleaje
 
Hizo zote nakshi tu. Muhimu awe na papuchi.

Kwenye mzagamuano vyote hivyo huwa havionekani, concentration inakuwa kwenye kipochi manyoya tu. Ndio maana hata gizani unaweza fika mshindo.
 
Back
Top Bottom