red carpet
Member
- Sep 11, 2024
- 33
- 67
Mbona hakuna ambaye amekueleza madimples ya mahips yalivyo? Labda wajuzi hawajaja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kijana mapema ivoo😂Story tamu Mpka nimedinda
Bado haujatext😅 Ninayo nitaku text mida mida.
Weka picha kwanzaBibi Money Penny ninajua jinsi ya kutengeneza dimpoz nicheki DM nimweleweshe huyo Shoga ako kuhusu hipsi ngoja nicheki na mtu halafu nitamuunganisha
Tupe picha basi ya dimples kwenye mahips
Huyu ataanguka chooni shauriakekijana mapema ivoo😂
Naona hawajui wanayumba yumba tuMbona hakuna ambaye amekueleza madimples ya mahips yalivyo? Labda wajuzi hawajaja
Kuna somo linaitwa A study of human facial nitakupa darasa kumsaidia shoga akoWeka picha kwanza
Watu wanapenda ulemavu wa aina mbalimbali ,dimples popote kwenye mwili ni ulemavu kama ulemavu mwingineKama kawa mama enu nimerudi na stori ingine tena
Leo natoka zangu kazini, nikapigiwa simu na shogangu tukutane mikocheni plaza ana stress za mapenzi
Nikaenda kumsikiliza vizuri tu, lalamiko lake kubwa ni kuwa;
Bwana wake amemuacha, kabla hajaachwa akamwuliza bwana wake, kwanini unaniacha wakati nakupenda,
Bwana: nimechoka staki kuwa na mwanamke kama wewe tena, nataka mwanamke ambae anama-Dimples kwenye Mahipsi yake, wewe Huna.
Shoga: sasa money penny hayo ma dimples kwenye mahips nayatoa wap kwanza yanafananaje? Mbona sielewi jaman hawa wanaume?
Haya wana Jamii Kubwa, mje mtueleze ma dimples kwenye mahispi ya mwanamke ndio yanakuwaje?
Me nikadhani ni hivi? Nimeweka mistake mekundu ndio dimples hizo au?
View attachment 3093474
kwanza inaoneka ameuwa wengi sanaa kama ata picha tuu tyr daah hatuna kijana😂😂Huyu ataanguka chooni shauriake
Nje ya mada:Kama kawa mama enu nimerudi na stori ingine tena
Leo natoka zangu kazini, nikapigiwa simu na shogangu tukutane mikocheni plaza ana stress za mapenzi
Nikaenda kumsikiliza vizuri tu, lalamiko lake kubwa ni kuwa;
Bwana wake amemuacha, kabla hajaachwa akamwuliza bwana wake, kwanini unaniacha wakati nakupenda,
Bwana: nimechoka staki kuwa na mwanamke kama wewe tena, nataka mwanamke ambae anama-Dimples kwenye Mahipsi yake, wewe Huna.
Shoga: sasa money penny hayo ma dimples kwenye mahips nayatoa wap kwanza yanafananaje? Mbona sielewi jaman hawa wanaume?
Haya wana Jamii Kubwa, mje mtueleze ma dimples kwenye mahispi ya mwanamke ndio yanakuwaje?
Me nikadhani ni hivi? Nimeweka mistake mekundu ndio dimples hizo au?
View attachment 3093474
Ifike pahala hisia za mtu ziheshimiwe. ndugu yangu kachokaBwana: nimechoka staki kuwa na mwanamke kama wewe tena, nataka mwanamke ambae anama-Dimples kwenye Mahipsi yake, wewe Huna.
Weka picha za ma dimples basiNi kamzozo.View attachment 3093540
Lini?Kuna somo linaitwa A study of human facial nitakupa darasa kumsaidia shoga ako
Nani kasemaWatu wanapenda ulemavu wa aina mbalimbali ,dimples popote kwenye mwili ni ulemavu kama ulevi mwingine
Kafariki, hahahakwanza inaoneka ameuwa wengi sanaa kama ata picha tuu tyr daah hatuna kijana😂😂
Zake za kuzaliwaNje ya mada:
Hizi hips za huyu mrembo ni za
kughushi (fake)
Anataka wa dimples kwenye mahispiIfike pahala hisia za mtu ziheshimiwe. ndugu yangu kachoka