Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 16,464
- 35,629
Kesho Bibi leo nimechoka sana. It is my bedtime nowLini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho Bibi leo nimechoka sana. It is my bedtime nowLini?
Nime kutumia hiyo picha ipandishe hapaAnataka wa dimples kwenye mahispi
Tupe picha basi bro
anajua yeye aliko ona dimple kwenye mahispi..ila mimi naomba hisia zake ziheshimiweAnataka wa dimples kwenye mahispi
Tupe picha basi bro
Huyo ungemvua ningekuonesha sehemu zinapokaa na siyo maeneo uliyoonesha.Kama kawa mama enu nimerudi na stori ingine tena
Leo natoka zangu kazini, nikapigiwa simu na shogangu tukutane mikocheni plaza ana stress za mapenzi
Nikaenda kumsikiliza vizuri tu, lalamiko lake kubwa ni kuwa;
Bwana wake amemuacha, kabla hajaachwa akamwuliza bwana wake, kwanini unaniacha wakati nakupenda,
Bwana: nimechoka staki kuwa na mwanamke kama wewe tena, nataka mwanamke ambae anama-Dimples kwenye Mahipsi yake, wewe Huna.
Shoga: sasa money penny hayo ma dimples kwenye mahips nayatoa wap kwanza yanafananaje? Mbona sielewi jaman hawa wanaume?
Haya wana Jamii Kubwa, mje mtueleze ma dimples kwenye mahispi ya mwanamke ndio yanakuwaje?
Me nikadhani ni hivi? Nimeweka mistake mekundu ndio dimples hizo au?
View attachment 3093474
LalaKesho Bibi leo nimechoka sana. It is my bedtime now
Ili waniblockNime kutumia hiyo picha ipandishe hapa
Mbona maombi yako na yake hayafanani?anajua yeye aliko ona dimple kwenye mahispi..ila mimi naomba hisia zake ziheshimiwe
Ndefu sana bwana weka picha acha maneno matupuHuyo ungemvua ningekuonesha sehemu zinapokaa na siyo maeneo uliyoonesha.
Unaona huo mkono aliouelekeza chini, hukaa eneo lilipo bangili la juu kwa nyuma kidogo ya hipps, ni mbonyeo flani amazing.
Ila huyo mzee ni mpumbaf, huwezi vunja penzi kwa vijisababu visivyokuwa na kichwa wala miguu bhana.
Tupe pichaAiseeh
Hips zenye dimples? Ngoja nikachunguze zako huenda nikapata haya unayosema 🤣Tupe picha
jaman picha tuu 😂 kama hana meno hatujiiii DM 😂😂 Money penny ukitaka zengine utanambiaaWeka picha kwanza
zulu hujaelewa tuma pcha Yako kwanza then aje DM umuelekeze 😂😂👐Hips zenye dimples? Ngoja nikachunguze zako huenda nikapata haya unayosema 🤣
Kuna kijana WA ovyo uumu😂Mambo ya kudindishana mchana yanaanzaje tena
Hahahah! Sasa Nimtumie picha ya rungu yangu au ya nini tena?zulu hujaelewa tuma pcha Yako kwanza then aje DM umuelekeze 😂😂👐
ya dimples 😄Hahahah! Sasa Nimtumie picha ya rungu yangu au ya nini tena?
🙄🙄🤔
Aiseeeh!ya dimples 😄