philantrhopist
JF-Expert Member
- Jun 18, 2023
- 415
- 706
Hapo bila shaka umefurahi kuona falsafa zako zinaonekana ziko relevantmpaka mseme
KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Muhuni nae lazma amtupe tu sababu maintanance cost zitakuwa juuKibaya zaidi akimuacha na muhuni naye atamuacha
hapa ndio naonaga ujinga wa ke wengiMuhuni nae lazma amtupe tu sababu maintanance cost zitakuwa juu
Kabisashida inaanzia hapa, kwa ubebe mikosi na manuksi, kugongana kuna miroho michafu inayoweza kukuvurugia maisha yako.
Comment ya kufungulia mwaka..Tufikie hatua mapenzi tusiyaweke kipaumbele sana,kujiumiza tU
Comment ya kufungulia mwaka..Tufikie hatua mapenzi tusiyaweke kipaumbele sana,kujiumiza tU
Mwanamke wa aina hii kamwe awezi olewa kamwe ni kama kajiroga kabisa kabisa…..! Hivi anafikiri huyo mwanaume anayempa kiburi akijua alichomfanyia mwenzie nae si atakuwa mguu sawa na anajua hakuna mwanamke hapa?kwa kweli
Sijui kama jamaa anaelewa hizi commrntsmtego umejifyatua wenyewe kabla ya kukunasa...kimbia nduki nene
NB:mahari arudishe ANDAZI HUYO