Anatropia Lwehikila awashukia wabunge waliodai kunyanyaswa kingono, asema wanajidhalilisha kutojua wapi pa kupeleka malalamiko yao

Mbowe kiboko hata huyu?! Kwa watu wazima tunaelewa, haya maneno sio bure, ni vita ya wivu wa mapenzi.
 
angalia na wewe usije kukana haya maneno yako.
Ndio walivyo hao, kwasasa hata huyu anatafuta namna ya kuonwa na mwenyekiti na kundi lake ili asikose viti maalum! Anasahau uchaguzi huu chadema inaweza ikarudi na wabunge wasiozidi 3 au kwa serikali hii ilivyo wakafyekwa wote. Baada ya uchaguzi ndio wataparanganyika zaidi kwa kukosa kazi za kufanya na huku funds zimekata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
biashara ya utumwa bado imeshika hatamu.
 
Wamemfuatisha Lijualikali
Zamani kidogo nilikuwa nilikuwa nilifikiri ni mtu ukishakuwa mbunge automatically utakuwa na akili.

Unakubali katumika kirahisi hadi unatia kinyaa

In God we Trust
 
Lawama zote zimwendee chakubanga
In God we Trust
 
Aache kukurupuka. Anafanya makusudi kupotosha akijua nyumbu huwa hawatafakari. Wao ni kuzungusha mikono na kuunga mikono.

Hawakusema wamedhalilishwa. Bali walichosema ni kuwa "taratibu za upatikanaji viti maalumu chadema zinatoa mwanya wa udhalilishaji kingono"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasikilize vizuri. Wapi wamesema wamedhalilishwa? Acheni uongo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno ya busara sana kwa wenye akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Na wale wabunge hawakusema wamenyanyaswa kingono. Bali walidai taratibu za chadema zinatoa nafasi ya unyanyasaji wa kingono. Sasa wameamua kuwazushia.

Kama yeye bingwa, ajibu nondo za Waitara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na wale wabunge hawakusema wamenyanyaswa kingono. Bali walidai taratibu za cdm zinatoa nafasi ya unyanyasaji wa kingono. Sasa wameamua kuwazushia.
Kama yeye bingwa,ajibu nondo za Waitara

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana wapo waliodhalilishwa. Wanafikiri kudhalilishwa hadi kulala na mwanamke tu! Halafu fikiria angejitokeza mwanamke kulaani huo udhalilishaji wangemfanya nini hawa ambao mbunge kuamua kwenda bungeni kutimiza wajibu wake anatimuliwa bila hata kuulizwa! Tena akiwemo aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama! Si kichaa hiki!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa wananchi wameshagundua huu uharamia na matokeo yake watazidi kuichukia CCM.
 
Dunia HADAA kwa kweli. Na pesa Mwana haramu, watu wananunuliwa ili mradi tu wajitoe akili mbele ya jamii. Wanaona ni sawa..!
 
Nami nimeshangaa sana. Bungebi kuna kamati zinazo deal na bullying, kwa nini hawakuripoti huko kwanza?
Zamani kidogo nilikuwa nilikuwa nilifikiri ni mtu ukishakuwa mbunge automatically utakuwa na akili.

Unakubali katumika kirahisi hadi unatia kinyaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho chama chenu kwa wote waliomo ina maana wamepta hizo nafasi kwa hisani? Je bila hao wanachama kingeweza kujiendesha kwa kupata ruzuku? Msiwatishe watu, chama kinategemea watu, bila watu hakuna chama, hata wewe unaewasema wenzako huna dhamana na hicho chama kwaibunaweza kutika hata kesho.
 
Ka-Polepole kamewaingiza choo cha kiume kakawafanya kalichowafanya, sasa wanabaki na aibu usoni, namhurukia sana Dr. Sokombi mwalimu wangu pole sana kuwa na mke maamuma namna hii! Kwanza huko alikokimbilia si ndiko wanaligwa pulley kwenye mwenge kama hawana akili nzuri?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…