Anatropia Lwehikila awashukia wabunge waliodai kunyanyaswa kingono, asema wanajidhalilisha kutojua wapi pa kupeleka malalamiko yao

Anatropia Lwehikila awashukia wabunge waliodai kunyanyaswa kingono, asema wanajidhalilisha kutojua wapi pa kupeleka malalamiko yao

Anaandika Anatropia Theonest Lwehikila (Mbunge wa Viti maalumu Segerea).
_________________
Somo la bure kwa wanawake wenzangu hasa wanaokihama CHADEMA. Endeleeni na tuhuma bandia dhidi ya chama kinachojua kilipowatoa. Leo tumependeza, tunanukia, shukrani halisi zimekuwa mateke.

Semeni yote mtakayo lakini aibu zaidi ni kina mama watu wazima (tena wabunge) kusema hadharani mmedhalilishwa kingono. Nafasi ya ubunge iliwapa exposure ya kujua wapi mpeleke malalamiko yenu. Mahakama mnazijua, Ustawi wa jamii mnapajua, hata TWPG viongozi wao mnawajua. Ilikuwaje mkae kimya miaka yote 5? AIBU YENU.!
_
Hata kama ingekuwa kweli, mnasifa gani za kuendelea kuwa viongozi kama hamuwezi kujisaidia. Mtawezaje kusaidia mabinti na wanawake wengine wanaonyanyasika wapate msaada kama ninyi wenyewe mmeshindwa kupata msaada? Mmechekesha kweli.

Nawasihi acheni kujidhalilisha na kuwadhalilisha wanawake wenzenu. Acheni shutuma za kitoto. Hao wanaowaandikia hizo 'statement' wanawapotosha sana.

Jamii inategemea kuwaona mmestaarabika baada ya kumaliza Ubunge wenu wa Viti Maalumu mkijiandaa kwenda kugombea majimboni. Sasa kama mnadai mmedhalilishwa kingono na mkakaa kimya kwa miaka mitano, mtawezaje kuwasemea wananchi kero zao? Mmeshapoteza point.

Endeleeni kusema uongo iko siku mtahitajika kupeleka ushahidi mahakamani. Badilikeni nawaonya.!
SOMO ZURI KWA WALE WOTE AMBAO SI WAKEREKETWA NA CHAMA CHOCHOTE
 
salama mbatizaji, leo sabato, wabunge hawa wanadai kumpa Mwenyekiti CHADEMA tamuu kwa muda wote walishindwa hata kumsemea kwa waume zao kama kwa spika na polisi waliona aibu?
imagine sasa hivi watoto wao wanawaonaje?

Itabidi waume zao wakapime DNA kuangalia watoto usikute ni wa MWENYEKITI.
Watoto wa hawa wabunge wakimwona mwenyekiti wanajua namna amewanyooshea mama yao, SHAME SHAME SHAME, matumbo yanawaponza!
Labda wanataka kumgea na Mbatia.

Biashara matangazo bwashee!
 
Anaandika Anatropia Theonest Lwehikila (Mbunge wa Viti maalumu Segerea).
_________________
Somo la bure kwa wanawake wenzangu hasa wanaokihama CHADEMA. Endeleeni na tuhuma bandia dhidi ya chama kinachojua kilipowatoa. Leo tumependeza, tunanukia, shukrani halisi zimekuwa mateke.

Semeni yote mtakayo lakini aibu zaidi ni kina mama watu wazima (tena wabunge) kusema hadharani mmedhalilishwa kingono. Nafasi ya ubunge iliwapa exposure ya kujua wapi mpeleke malalamiko yenu. Mahakama mnazijua, Ustawi wa jamii mnapajua, hata TWPG viongozi wao mnawajua. Ilikuwaje mkae kimya miaka yote 5? AIBU YENU.!
_
Hata kama ingekuwa kweli, mnasifa gani za kuendelea kuwa viongozi kama hamuwezi kujisaidia. Mtawezaje kusaidia mabinti na wanawake wengine wanaonyanyasika wapate msaada kama ninyi wenyewe mmeshindwa kupata msaada? Mmechekesha kweli.

Nawasihi acheni kujidhalilisha na kuwadhalilisha wanawake wenzenu. Acheni shutuma za kitoto. Hao wanaowaandikia hizo 'statement' wanawapotosha sana.

Jamii inategemea kuwaona mmestaarabika baada ya kumaliza Ubunge wenu wa Viti Maalumu mkijiandaa kwenda kugombea majimboni. Sasa kama mnadai mmedhalilishwa kingono na mkakaa kimya kwa miaka mitano, mtawezaje kuwasemea wananchi kero zao? Mmeshapoteza point.

Endeleeni kusema uongo iko siku mtahitajika kupeleka ushahidi mahakamani. Badilikeni nawaonya.!
Hongera mama kwa kuwaambia ukweli hawa wasiojitambua, kwa akili hii kubwa utafika mbali sanaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kweli mzee? Wake za watu hao na mmoja wapo ni mke wa Tumaini Makene. Heshima ni kitu cha bure ndugu yangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Means TMAINI MAKENE KAGONGEWA NA MWENYEKITI.
MWENYEKITI ANAGONGA WOTE VITI VYA KUPEWA?
mimi namshauri Makeni alipe limke lake talaka, maana limefanya zinaa na ni ground ya divorce
 
Kwa hiyo kwa miaka yote mitano walikuwa wanafokolewa na chadema sio?

Sent using Jamii Forums mobile app
siyo CHADEMA , na MZEE WA ANGA, na kila mbunge viti maalum hotuba anayoandikiwa na POLEPOLE ni hiyo moja , IL wenzao huwa wanakriri ila hawa vilaza wawili WAKAWA WANASOMA KABISA, alafu wanakosea hata herufi kutamka, MEANS MWENYEKITI kala watoto wazuri sana
 
Anaandika Anatropia Theonest Lwehikila (Mbunge wa Viti maalumu Segerea).
_________________
Somo la bure kwa wanawake wenzangu hasa wanaokihama CHADEMA. Endeleeni na tuhuma bandia dhidi ya chama kinachojua kilipowatoa. Leo tumependeza, tunanukia, shukrani halisi zimekuwa mateke.

Semeni yote mtakayo lakini aibu zaidi ni kina mama watu wazima (tena wabunge) kusema hadharani mmedhalilishwa kingono. Nafasi ya ubunge iliwapa exposure ya kujua wapi mpeleke malalamiko yenu. Mahakama mnazijua, Ustawi wa jamii mnapajua, hata TWPG viongozi wao mnawajua. Ilikuwaje mkae kimya miaka yote 5? AIBU YENU.!
_
Hata kama ingekuwa kweli, mnasifa gani za kuendelea kuwa viongozi kama hamuwezi kujisaidia. Mtawezaje kusaidia mabinti na wanawake wengine wanaonyanyasika wapate msaada kama ninyi wenyewe mmeshindwa kupata msaada? Mmechekesha kweli.

Nawasihi acheni kujidhalilisha na kuwadhalilisha wanawake wenzenu. Acheni shutuma za kitoto. Hao wanaowaandikia hizo 'statement' wanawapotosha sana.

Jamii inategemea kuwaona mmestaarabika baada ya kumaliza Ubunge wenu wa Viti Maalumu mkijiandaa kwenda kugombea majimboni. Sasa kama mnadai mmedhalilishwa kingono na mkakaa kimya kwa miaka mitano, mtawezaje kuwasemea wananchi kero zao? Mmeshapoteza point.

Endeleeni kusema uongo iko siku mtahitajika kupeleka ushahidi mahakamani. Badilikeni nawaonya.!
Stupid writing! Anawashauri kwamba walistahili kuyapeleka malalamiko kwenye vyombo vinavyohusika wakati huo anaandika ni aibu watu wazima kusema hadharani mmedhalilishwa kingono! Hata yeye ni mbunge asiyejitambua. Rubbish!
 
Ndio maana bado huwa naamini wanawake hiyo hakisawa wanayodai nafikiri itakuwa madai ya milele. Nataman sn sheria ipite viti maalumu kihudumiwe kwa msimu mmoja tu coz hakuna sababu ya kila msimu mtu mmoja achaguliwe kwenye kiti maalum angali tayar ashawezeshwa kwa huo muhula mmoja.
 
Ndio maana bado huwa naamini wanawake hiyo hakisawa wanayodai nafikiri itakuwa madai ya milele. Nataman sn sheria ipite viti maalumu kihudumiwe kwa msimu mmoja tu coz hakuna sababu ya kila msimu mtu mmoja achaguliwe kwenye kiti maalum angali tayar ashawezeshwa kwa huo muhula mmoja.
Msimu mmoja wa nini?
mbona mimi nimepambana mpaka hapa nilipo?
Viti maalumu viondolewe, kama tukiona umuhimu tuwape viwete, vipofu na viziwi, mtu mzima kabisa kakalia mlungushi kwa miaka mitano eti leo ndio anakuja ku FRAT hata aibu haoni, basi kama haonei aibu watanzania amuonee aibu MAKENE na wakwe zake
 
Ni vyema Chadema iwe makini na watu inaowapitisha kugombea ubunge,udiwani au viti maalumu ili kuepuka mambo kama haya.

Watu kama kina Selasini ,Lijuakali,Waitara wangeweza kutambuliwa mapema toka awali na wangewekewa pingamizi ndani ya chama ili kuepusha fedheha kama hizi.
 
Back
Top Bottom