Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

huwezi sema hivyo wakati biblia ipo wazi, labda kama unatumia kitabu kingine, USIFUNGIWE NIRA NA WASIO AMINI.
Unataka kuniambiaje? Je wasiosoma biblia wanatumia vitabu vya imani nyingine nao wamefungwa? Amini unachokiamini nami vivyo hivyo!
 
Ukiwa na pesa unanyenyekewa
Man kuna ukweli. Kuna moja lipo mitaa ya Kibangu kanisa la Mabati Mabati, sitataja exactly location.

Bwana nikaanza kwenda, sio kanisa langu ila kwakua lipo karibu na nilipokua nimehamia. Mi naendaga kanisa la jirani lolote.

Day one nimeenda attention ndogo wakasema tu wageni wajitambulishe nikajitambulisha. Basi ikaisha. Wanasisitiza tutoe sadaka kuanzia buku 5 kwenda mbele.

Next Sunday kukawa na mvua, nikaondoka home na gari, sasa ubaya unavopaki pale kila mtu anakuona. Parking ipo mbele ya kanisa, hafu ni la mabati na nyavu so kuanzia mchungaji anakuona.

Tunavotoka wanasema vijana wabaki. Mi uwa sijishirikishi hayo mambo, nataka kusepa jamaa akanifuata akasema vijana tunabaki. Aisee nilipewa cheo sijui kamati ya nm ya vijana. Na ndio ikawa Jumapili yangu ya mwisho hapo.
 
huwezi sema hivyo wakati biblia ipo wazi, labda kama unatumia kitabu kingine, USIFUNGIWE NIRA NA WASIO AMINI.
Biblia ipo wazi na hasa uwe na uwezo wa kuyaelewa na kuyatafsiri maandiko yake
 
Unataka kuniambiaje? Je wasiosoma biblia wanatumia vitabu vya imani nyingine nao wamefungwa? Amini unachokiamini nami vivyo hivyo!
Ndiyo wamefungiwa nira, hayo si maneno yangu ni ya YESU.
Usipo mkiri na kuamini kwamba Ni mwana wa Mungu umepotea, tubu , fikia toba ya kweli, achana na dini fuata wokovu, .Yesu alikuja akakuta dini zina zaidi ya miaka 2000 na hazikufanikiwa kumwondolea mwanadamu dhambi zake, walikuwa wanafunika dhambi ila alipomwaga damu yake ilikuwa ondoleo la dhambi.
 
Kuna kanisa wanaita church of Christ. Litafute utanishukuru.
Lime-fail hili. Kwanza halipo kila wilaya. Pili hayo ya dizain hiyo hayako kama taasisi,hayo yanakuwaga ya mtu mmoja mpiga pesa
 
Sawa
 
Ni kwel lakin hakuna kanisa linalo ongoza kwa kuwaminya waumin wake katika kuwafundisha juu ya ukwel uliopo katika biblia kama RC

Sidhani bali sisi wakristu ni wavivu wa kusoma bibilia tumekalia kusoma udaku na simu tuuh
Kila kitu kimeandikwa kwenye bibilia na pia Sikiliza radio Tumaini na radio maria wanatoa sana mafundisho
 
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji38][emoji2][emoji2]ndivyo walivyo waleee

Bora ulivyosepa mazima
 
Mt 16:18 SUV

Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.


Na hilo ndilo neno la bwana...

Kanisa Takatifu katoliki la Mitume. Na liko duniani kote. Taasisi imara kuliko zote. Kanisa halimilikiwi na mchungaji wala nabii. Unaguzi ni wewe kutozishika na kuziishi kanuni na sheria za kanisa katoliki.

Hakuna ubaguzi kama wanavyodai wengine hapa. Mf. Ruge, nillionea mrema, kingunge hawa ni baadhi ya vigogo ambao waliasi ukatoliki kwa namna yao hivyo kujikuta wakikosa huduma. Hawakua masikini ama wanyonge. Ni vigogo na sheria imetumika ipasavyo. Kanisa ni moja takatifu katoliki. Inada ni moja, inada haiendeshwi kwa utashi wa nabii ama mchungaji. Hivyo inakupa nafasi muumini kujiandaa vyema kwa ibada. Inada ya leo kimara, sinza, mwenge, kkoo, italy, spain, usa, mwanza, rwanda zote zinafanana.


Tumsifu Yesu Kristu[emoji120]
 
Kwanini mnaombea wafu wasamehewe dhambi zao hali Biblia imesema wazi baada ya kifo ni hukumu?

Ni kanisa la kale na lililosambaa duniani kote, lakini mafundisho yake hayawajengi waumini kuukulia utakatifu
 
No wasabato tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…