Toa upumbavu wako hapa. Wale waliompa Magufuli tuzo ya kuishinda Corona? Walijisikiaje Corona ilipomuondoa? Au kwa sababu watu walitumia hekima tu kusema ni ugonjwa wa moyo?TANZANIA ASSEMBLIES OF GOD
Si kweliLakini halina teamwork! Hubagua hadhi ya waumini
Mimi nilikwenda la morogoro pale nanenane.Kwa nini usimwelekeze..
Lipo pale Morroco, na Mabibo
Hili kanisa imebaki historia tu ila ibada zake na mafundisho yake yamepotoka.Kanisa ni moja, Kanisa ni takatifu,Kanisa ni la mitume, Kanisa ni Katoliki.
Hakuna kanisa la namna hii, tafuta kikundiKusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.
Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
- Liwe ni kanisa la kikristu
- Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
- Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
- Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
- Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
- Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
- Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
- Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
- Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
- Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Kama unaliona hilo linbagua bas kamna kanisa tena,kanisa katoliki ndio la haki haliwezi kubagua mtu,utajibagua mwenyeweLakini halina teamwork! Hubagua hadhi ya waumini
Ameen! Ubarikiwe! I am proudly Catholic & I'll die CatholicMt 16:18 SUV
Nami nakuambia, Wewe ndiwe Petro, na juu ya mwamba huu nitalijenga kanisa langu; wala milango ya kuzimu haitalishinda.
Na hilo ndilo neno la bwana...
Kanisa Takatifu katoliki la Mitume. Na liko duniani kote. Taasisi imara kuliko zote. Kanisa halimilikiwi na mchungaji wala nabii. Unaguzi ni wewe kutozishika na kuziishi kanuni na sheria za kanisa katoliki.
Hakuna ubaguzi kama wanavyodai wengine hapa. Mf. Ruge, nillionea mrema, kingunge hawa ni baadhi ya vigogo ambao waliasi ukatoliki kwa namna yao hivyo kujikuta wakikosa huduma. Hawakua masikini ama wanyonge. Ni vigogo na sheria imetumika ipasavyo. Kanisa ni moja takatifu katoliki. Inada ni moja, inada haiendeshwi kwa utashi wa nabii ama mchungaji. Hivyo inakupa nafasi muumini kujiandaa vyema kwa ibada. Inada ya leo kimara, sinza, mwenge, kkoo, italy, spain, usa, mwanza, rwanda zote zinafanana.
Tumsifu Yesu Kristu[emoji120]
1 Tim 5:23 SUVTena msilewe kwa pombe ambamo humo mna ufisadi. Bali mjazwe na Roho Myakatifu
Baba.dih..yan umeuaUkiona kanisa linatumia maturubai na viti vya plastiki ujue umeshapigwa.
Unakielewaje hicho kifungu?1 Tim 5:23 SUV
Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.
Huyu atakuwa shahidi wa yehova huyu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu endelea tu kumsoma nabii wenu Ellen G White huku hautaelewa!ROMAN CTHOLIC (RC} JINA Roman LILISHAONDOLEWA SIKU NYINGI WATU BAADA YA KUENDESHA MGOMO KUWA WAO SIO WAFUASI WA ROMA!!! KAMUULIZE PADRI WAKO
SASA HIVI LINAITWA TU KANISA KATOLIKI SIO ROMAN KATOLIKI!!! nAONA UNAJISALIA KIMAZOEA HATA HUJUI KINACHOENDELEA KANISANI KWAKO
Where will you go in the after life?Ameen! Ubarikiwe! I am proudly Catholic & I'll die Catholic
Viongozi wao wana adhabu kubwa sana kwa kutowaambia ukweli wote waumini.Unadhania wote wanajua kitu flan ni dhambi? Uamin kwenye kila wanachoambiwa na padri na kiongozi mkuu wa kanisa pasipo kukichunguza ndio maana leo hii papa anauwezo wa kubadirisha sala ya "baba yetu" na asiojiwe
Kiitikio: Utuombeemungu ana mama yake aliyemzaa anaitwa Maria Mama wa MUNGU!!!
Mungu ni roho tupu hakuna binadamu awezaye kuzaa roho .Lakini Maria anaitwa Mama wa MUNGU!!! NA anasemekana alipaa mbinguni!!! Hakuna popote kwenye Biblia KUNAPOONYESHA MARIA ALIPAAA!!!
Ww Una uhakika gan kama yamepotoka? Je kama www ndo umepotoka?Hili kanisa imebaki historia tu ila ibada zake na mafundisho yake yamepotoka.
Milango ya kuzimu itajaribu kulishinda,Lakini haitaweza!Hili kanisa imebaki historia tu ila ibada zake na mafundisho yake yamepotoka.
Sira 31:27Unakielewaje hicho kifungu?
Thibitisha usemi wakoKanisa aliloacha Kristo ni moja tu! Kanisa Katoliki.Hayo mengine si makanisa bali ni madhehebu tu yaliyoanzishwa na watu.
MT 16:18Thibitisha usemi wako