Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

Anayefahamu kanisa zuri lenye sifa zifuatazo, anijulishe nijiunge tafadhali

usizunguke zunguke ndugu.. Njoo tuungame ubatizo mmoja wa maondoleo ya dhambi,tusubirie ufufuko wa wafu na uzima wa milele ijayo.
Mwanakondoo wa Mungu aondoaye dhambi za ulimwengu atakuhurumia

Bwana awe nanyi nyote....[emoji7]
Aje wapi?
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Mimi kwa maoni yangu kanisa ambalo unaweza kuliamini ni biblia ambayo ni muongozo wa roho ya mwnadamu kuingia mbinguni na ukisoma biblia vizuri ukaielewa na ukafuata yale yaliyoagizwa utakuwa mtu mmoja safi sana maana utamuomba Mungu aliyehai na kufuata yeye alichokifundisha.Nasema hivi kwa sababu makanisa mengu hivi leo yanaubinafsi, na kujinufaisha na maigizo mengi amabayo ni hopeless na wala hayakufikishi popote kama lengo lako ni kuwa karibu na mungu
 
Hujaonesha unafiki u wapi pale katika post #262 then nitakujibu
Unafiki ni pale unapothubutu kujiona bora na kuijua Biblia kuliko yeye aliyeandika.Mbaya zaidi inaonekana hauna ufahamu juu ya Roho Mtakatifu bali unaongozwa na hisia.
 
Unafiki ni pale unapothubutu kujiona bora na kuijua Biblia kuliko yeye aliyeandika.Mbaya zaidi inaonekana hauna ufahamu juu ya Roho Mtakatifu bali unaongozwa na hisia.
Waefeso 5:18 kuwa "Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho"

unaielewaje?
 
Mkijua neno hili kwanza, ya kwamba hakuna unabii katika maandiko upatao kufasiriwa kama apendavyo mtu fulani tu. Maana unabii haukuletwa po pote kwa mapenzi ya mwanadamu; bali wanadamu walinena yaliyotoka kwa Mungu, wakiongozwa na Roho Mtakatifu.
2 Pet 1:20‭-‬21 SUV
Biblia imeandikwa na nani akiongozwa na nani??
 
Mpaka umehitaji kuja kwenye haya makanisa kabla ya hapo upo dhehebu gan
 
Waefeso 5:18 kuwa "Tena msilewe kwa mvinyo, ambamo mna ufisadi; bali mjazwe Roho"

unaielewaje?
1 Tim 5:23 SUV

Tokea sasa usinywe maji tu lakini tumia mvinyo kidogo, kwa ajili ya tumbo lako, na magonjwa yakupatayo mara kwa mara.


Unaielewaje?
 
Kusali ni muhimu, lakini baadhi ya tabia na sheria za baadhi ya makanisa yanachangia sana kuvunja moyo watu kuabudu.

Naomba mwenye kujua kanisa lolote lenye sifa zifuatazo ili nijiunge;
  1. Liwe ni kanisa la kikristu
  2. Liwe na mfumo wa kitaasisi (yaani management iwe kimfumo wa kitaasisi)
  3. Liwe linapatikana angalau kila wilaya/mkoa
  4. Misingi ya waumini wake iwe ni ile ya teamwork (umoja bila kubagua masikini au tajiri hususani wakati wa matatizo ya mmoja mmoja)
  5. Liwe ni kanisa lisilotegemea uwepo wa mchungaji/kiongozi mmoja
  6. Liwe ni kanisa lenye ratiba maalum ya kuzingatiwa (standards)
  7. Liwe ni kanisa linalojali malezi ya watoto kiroho
  8. Liwe ni kanisa la watu wenye akili timamu.
  9. Liwe ni kanisa lenye kupenda haki, usawa na uwazi
  10. Liwe ni kanisa linaloponya, kukuza na kujenga imani kwa waumini wachanga n.k
Yoyote anayefahamu kanisa lenye hizo sifa anifahamishe!! Natafuta kanisa la kujiunga!
Hakunaga
 
Kwa sifa ulizotaja Kati ya hizo naona Kuna kanisa linasifa Kama Tisa nakushauri enenda kwenye kanisa RC( Roman Catholic)
 
😀😀 yaani katika kanisa ambalo sijalielewa ni hilo aise. Mh!😷
na hauwezi kulielewa haliendeshwi kwa mihemko na miujiza inayoonekana kwa macho ya wanadamu. miujiza inaweza kuwepo lakini sio misingi ya imani ya waumini.
linaelewa watu wote si wakamilifu na mabadiliko sio ya siku moja ni process kwa kiasi kikubwa hawaoni hasara kwa ngano kukua na magugu! cha msingi zaidi watu waishi kwa upendo na furaha huku wakijua hapa duniani ni kwa kupita tu.
binadamu anahitaji kuishi kwa uaminifu kimwili na kiroho na ndomaana wanahuduma nyingi za jamii ili kuponya miili ambayo ni hekaru la Roho Mtakatifu.
 
Back
Top Bottom