The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Ukipenda mteremko huko mbele utakutana na mlima. Kuwa makini na shortcut.Nenda handeni_kilindi huko mapori ya kutosha.
Ukiwa mtulivu na mdadisi na kuongea vizuri na wenyeviti wa vitongoji heka mmoja utapata hata chini ya laki.
Asante bossNjoo Iringa - Ismani umepata na ni KM 40 kutoka mjini iringa
UnGreat thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanten
ataka kwa shughuli ipi au kilimo kipi nikukalibishe njombeGreat thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.
U
Un
ataka kwa shughuli ipi au kilimo kipi nikukalibishe njo
iringa kwa upande huo ni kiasi gani?Njoo Iringa - Ismani umepata na ni KM 40 kutoka mjini iringa
Vipi uko ni kiasi gani?U
Un
ataka kwa shughuli ipi au kilimo kipi nikukalibishe njombe
Kilimo na ufugajiU
Un
ataka kwa shughuli ipi au kilimo kipi nikukalibishe njombe
Hapo isimani Wana bei ganiNjoo Iringa - Ismani umepata na ni KM 40 kutoka mjini iringa
Njoo Dodoma kuna heka kibao,mazao ni mahindi,ufuta, maharage,Alizeti,Zabibu,mpunga,Uwele,Njugu,Karanga,Mama,Mahindi,Korosho bila kusahau Mboga Mboga nk.Great thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.
Asante Dodoma Wilaya gani na kijiji kipi na wanauza Kwa bei Gani?Njoo Dodoma kuna heka kibao,mazao ni mahindi,ufuta, maharage,Alizeti,Zabibu,mpunga,Uwele,Njugu,Karanga,Mama,Mahindi,Korosho bila kusahau Mboga Mboga nk.
Sawa boss asante kwa ushauriUkihangaika utapata hata kwa laki 1 ila kuna vitu inabidi uzingatie
Mashamba huwa yako mbali saana hivyo si Ashlabu ukakutana na changamoto za
1. Accessibility
2.Wanyama Wakalli
3. Wizi/Usalama
Kuna jamaa kanunua eka 50 laki 3 kwa ekari jumla 15m. Lakini ni takriban km 35 kutoka Kilwa road, na hivi vi Baby Walker vyetu tunavyotanua navyo Magomeni havimalizi hata km 10 kwa jinsi njia ilivyo mbovu, katika miezi 12 ana uwezo kuingia shambani kwa muda wa miezi 8 tu, miezi 4 iliyobaki hakuingiliki shambani
Karibu Mpui unapata hata kwa 50,000....ulizia Mwenyekiti ChengwaGreat thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.
Dodoma wilaya Gani huko mkuu?Njoo Dodoma kuna heka kibao,mazao ni mahindi,ufuta, maharage,Alizeti,Zabibu,mpunga,Uwele,Njugu,Karanga,Mama,Mahindi,Korosho bila kusahau Mboga Mboga nk.