gaspersoftware65
Member
- Aug 6, 2014
- 43
- 21
Kweli mkuu unaweza ukaingia nao mkataba wa mwaka 1 wanalima mwisho wa mwaka unawalipa.
Tuliwai kufanya ivo tulipata vijana kutoka kigoma wakaja njopeka (nyamalonda ) mpimio kulima.
Tuliwai kufanya ivo tulipata vijana kutoka kigoma wakaja njopeka (nyamalonda ) mpimio kulima.
Sio lazima utumie wa hapo, unaweza chukua vibarua mikoa mingine hasa dom na kigoma ukawapeleka wakafanya kazi yako vizuri tu