The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
- Thread starter
- #61
Nashukuru sana wadau Kwa kufunguka basi KAZI imebaki kwangu kuamua pa kuelekea nishapata mwanga. This is the reason I like JFWilaya zote ni karibu vijiji vyote,isipokuwa kuna Kijiji Kimoja kinaiwa wotta_Mpwapwa wagumu kuuza.Bei ni kuanzia laki na nusu inategemea na muuzaji.Huko wotta ni watu waliohamia Toka Iringa kutokana na vita vya wajerumani na Wanyalukolo!