Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

Great thinkers.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.

Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..

Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli

Karibuni
Asanteni.
Nitafute rukwa wilaya ya kalambo kuna heka 150 special kwa mahindi, maharage na mazao mengine bei ni 100000 per heka weka ya udalili 50000 per heka
 
Great thinkers.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.

Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..

Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli

Karibuni
Asanteni.
Njoo pm upate kumiliki kipande Cha ardhi
 
Nenda Lindi walaya ya Liwale, ongea na serikali ya kijiji chochote watakupa pori bure uligeuze kuwa shamba, utalima mazao ya biashara kama ufuta, mpunga, mbaazi na korosho. Mashamba yanafikika kwa gari au hata boda boda hivyo ni juhudi zako tu ndo zitaamua utoboe kwa kiasi gani
 
Nenda Lindi walaya ya Liwale, ongea na serikali ya kijiji chochote watakupa pori bure uligeuze kuwa shamba, utalima mazao ya biashara kama ufuta, mpunga, mbaazi na korosho. Mashamba yanafikika kwa gari au hata boda boda hivyo ni juhudi zako tu ndo zitaamua utoboe kwa kiasi gani
Asante boss. Shida ya lindi vijana wa KAZI mashambani ni wavivu sana
 
Ukihangaika utapata hata kwa laki 1 ila kuna vitu inabidi uzingatie
Mashamba huwa yako mbali saana hivyo si Ashlabu ukakutana na changamoto za
1. Accessibility
2.Wanyama Wakalli
3. Wizi/Usalama

Kuna jamaa kanunua eka 50 laki 3 kwa ekari jumla 15m. Lakini ni takriban km 35 kutoka Kilwa road, na hivi vi Baby Walker vyetu tunavyotanua navyo Magomeni havimalizi hata km 10 kwa jinsi njia ilivyo mbovu, katika miezi 12 ana uwezo kuingia shambani kwa muda wa miezi 8 tu, miezi 4 iliyobaki hakuingiliki shambani
Mshauri atafute Suzuki Escudo old model. Akipata manual trans itakuwa poa zaidi. Popote atakapopita mtu wa Cruza basi ile gari inapita bila wasi wasi 4WD yake sio mchezo.
 
Back
Top Bottom