Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Wapi huko tuje?Huku niliko, mashamba ni Bure,Yana rutuba nyingi na Kuna maeneo Yana dhahabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapi huko tuje?Huku niliko, mashamba ni Bure,Yana rutuba nyingi na Kuna maeneo Yana dhahabu
Mbulani- jokoroKizapara, kibuyuni, kibudi, kitomondo, mwanamkali au msangamwelu au wapi?
Huko ndo home kabisa yani
Mbulani hapo mwisho wa gari sio? Wenye hela now ningeshauri wakanunue pia Tundwi songaniMbulani- jokoro
Hapo hapoMbulani hapo mwisho wa gari sio? Wenye hela now ningeshauri wakanunue pia Tundwi songani
Hayo maeneo yapo katikati, barabara ya Kahama to Geita.Mkuu senta chale,lugunga,kalumwa,segese maeneo ni sh ngapi kwa heka. Na kama hutojali hivyo vijiji ni uelekeo gani ukiwa hapo kahama. Naifahamu kahama kiana.
Tuaomba bei ya wastani kwa heka hayo maeneo kama ni mwenyeji.Hayo maeneo yapo katikati, barabara ya Kahama to Geita.
Nenda songea
PoaNme vuta eka 10 kule madaba Nilime mahindi sasa
Hapo wapi?Hapa shamba laki Moja karibu
Wengn walionunua ardh na kuirundika ima ni wapare wachaga na wasingida mwisho wa siku hawana wanalpifanyia zaid ya kuiuzaHandeni; nina heka 200; siuzi, ila ukienda fanya utafiti kule utapata!
Sasa Geita ipi maeneo yanapatikana.Pwani hakuna rutuba mzee njoo Geita uone utafiti mashamba mvua inapiga misimu miwili tunalima MPUNGA, MAHINDI, MAHARAGE, KARANGA, VIAZ, MIHOGO kasoro Korosho ndio sijaona huku lakin pwani kutoka Leo mpaka usubirie kosho, Nazi ni plan ya muda kidogo huku plan ndefu kupanda miti
Marumbo Kisarawe PwaniGreat thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.
Mkuu mashamba yapo mkoa wa pwani wilaya ya chalinze kata ya miono bei ni nzuri na yana rutuba saana... njia yakwenda saadanGreat thinkers.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.
Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..
Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli
Karibuni
Asanteni.