Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

Anayefahamu kijijini wanakouzwa mashamba Kati ya laki 2 Hadi 5 anijuze popote Tanzania

Pwani hakuna rutuba mzee njoo Geita uone utafiti mashamba mvua inapiga misimu miwili tunalima MPUNGA, MAHINDI, MAHARAGE, KARANGA, VIAZ, MIHOGO kasoro Korosho ndio sijaona huku lakin pwani kutoka Leo mpaka usubirie kosho, Nazi ni plan ya muda kidogo huku plan ndefu kupanda miti
 
Pwani hakuna rutuba mzee njoo Geita uone utafiti mashamba mvua inapiga misimu miwili tunalima MPUNGA, MAHINDI, MAHARAGE, KARANGA, VIAZ, MIHOGO kasoro Korosho ndio sijaona huku lakin pwani kutoka Leo mpaka usubirie kosho, Nazi ni plan ya muda kidogo huku plan ndefu kupanda miti
Sasa Geita ipi maeneo yanapatikana.
 
Great thinkers.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.

Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..

Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli

Karibuni
Asanteni.
Marumbo Kisarawe Pwani
Ekari Tsh 700,000/ nina Ekari moja na robo ntakuuzia 1.2m.

Wanao nizunguka wanafanya kilimo cha machungwa,maembe na miogo..mto upo jirani ukihitaji kilimo cha kumwagilia

ProductMarketingAdMaker_29122024_233948.png
 
Great thinkers.

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu in case unafahamu kijiji chochote ambapo mashamba yanapatikana Kwa bei tajwa tujuzane.

Ukitaka mali utaipata shambami. arifhi ni.mtaji. zingatia kutaja sehemu husika Vizuri na namna ya kufika huko..

Kuna mtu alinitajia kuna kibindu njía ya kwenda Tanga baada ya Tuliani. Sehemu nyingine ni miono baada ya msata sijui kama ni kweli

Karibuni
Asanteni.
Mkuu mashamba yapo mkoa wa pwani wilaya ya chalinze kata ya miono bei ni nzuri na yana rutuba saana... njia yakwenda saadan
 
Back
Top Bottom