Serious business itakulazimu kutaja ukubwa wa vyumba idadi floor na kadhalika. Mwenye interest ya kuona anakuwa na idea ya nini anaenda kuangalia.IVORY TOWER ltd. inauza apartment iko mjini kabisa , ni mwendo wa kutembe kwenda kariakoo, karibu na supermarkets, kuna chekechea mbili karibu na jengo za lugha ya kiingereza , pia ni karibu na mzumbe university,mtaa wa mfaume, na unaweza kutumia mwendo kasi kwa usafiri wa haraka, mauzo hayo ni kwa bei nafuu kabisa karibu piga namba 0766627538
KARIBU MILIKI APARTMENT YAKO. UNAKARIBISHWA HATA KUFIKA KUANGALIA TU.
Asante!Wewe ni mdwanzi mkuu. Kama umeamua kutangaza, weka wazi kila kitu
Serious business itakulazimu kutaja ukubwa wa vyumba idadi floor na kadhalika. Mwenye interest ya kuona anakuwa na idea ya nini anaenda kuangalia.
Kwani si aseme floor ya chini ina square metres ngapi na bei ni ngapi kwa sq mt? Au anaweka cha juu? Mwambieni akiuza lazima atoe risiti ya elektroniki. Mbona NHC wanaweka bei wazi?
ASANTEHovyo kabisa
Ni vigumu mm kukutajia bei kabisa km unaweza kufika ukaiona itakuwa vzr, naweza kukupa maelezo jinsi ya kufika
karibu
Kaka acha biashara za mkoloni, hivi Watanzania tuna shida gani?, kwa nini tunashindwa kujua biashara za mitandaoni?, hakuna biashara ya Mtandaoni inayoficha bei, iwe Alibaba, au Qatar Air, Be foward nk kote uko unakuta bei, wewe unaficha nini?
Kwani hamna vipeperushi vyenye kuonyesha kila Apartment na bei zake?, ki scan hicho kipeperushi na ukiweke hapa
Biashara ya mitandaoni watu wanavutiwa na Picha na kisha bei
Duniani kote bei za nyumba uweka hadharani sijui why Watanzania atuna tabia hii. please weka bei
We ni mwizi au dalali? Unafanya biashara usiyojua? Unataka mtu aje umroge kwanza ndo useme bei ili asikatae?YOUR MOST WELCOME! BUT COULD YOU COME TO THE OFFICE PLEASE! SO THAT WE CAN DISCUSS ABOUT THE PRICE! THANK YOU!
Huyu apigwe life ban.INA FLOOR 14 KILA APARTMENT IN 130 SQUARE METER
Tangazo bovu kabisa hili.IVORY TOWER ltd. inauza apartment iko mjini kabisa , ni mwendo wa kutembe kwenda kariakoo, karibu na supermarkets, kuna chekechea mbili karibu na jengo za lugha ya kiingereza , pia ni karibu na mzumbe university,mtaa wa mfaume, na unaweza kutumia mwendo kasi kwa usafiri wa haraka, mauzo hayo ni kwa bei nafuu kabisa karibu piga namba 0766627538
KARIBU MILIKI APARTMENT YAKO. UNAKARIBISHWA HATA KUFIKA KUANGALIA TU.
Km hamuko tayari kuweka bei ,next time usiweke matangazo yk huku peleka KUPATANA ndio panapokufaa ww
THANK YOUWe ni mwizi au dalali? Unafanya biashara usiyojua? Unataka mtu aje umroge kwanza ndo useme bei ili asikatae?
Acha longo longo sema bei kama kweli upo Serious, mi nipo kigali nipande gari kuja Dar kuona apartment? Fool
huna uhakika inaonekanakaribu uione kabisa zote nikubwa!