WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
AjabuYeye na Mkulu haviivi
Anamtumia ujumbe kiaina
Anasumbuka bure ataishia kuwa kama lyatonga
Kama ana busara atulie aishi miaka mingi vinginevyo....
Nilipoona anamuita mwendazake baba nikajua kuna kitu hakipo sawa kwenye medulla oblangata...
Yeye na mwendazake nani baba?
Dah!Huyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .
Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .
Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .
Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .
View attachment 2164960
Samia "amewanyamazisha kabisa wapinzani"?Hiyo post iko wazi kabisa labda wewe unaisoma ukiwa umefunga jicho moja.
Magufuli alikuwa na msimamo wa wazi ambao wapinzani walikuwa wakiupinga kila siku na hata ajenda ya Lissu kwenye kampeini yake ya urais ilikuwa ni kumpinga Magufuli tu. Mama msimamo wake hauko wazi kiasi hivho: kawapa kila walichodai ikiwa ni pamoja na kumtuma DPP asiendelee kumshitaki Mbowe, kuwaita ikulu na kuwapa chai, na kuwaambia kuna kamati ya kuratibu mikutano ya siasa, kama vile katiba haina vipengele hivyo. Kwa hali hiyo amewanyamazisha kabisa na wala hawana ajenda tena. Ndiyo matatizo makubwa ya vyama vya siasa kutokuwa na ajenda imara ya kitaifa bali wanayumba na events za wakati huo tu. Mpaka juzi bado Mbowe anaongelea ya Magufuli tu ambaye hayupo tena!
[emoji38][emoji38][emoji38]Samia "amewanyamazisha kabisa wapinzani"?
Una maana wapinzani ni ACT, au siyo?
Unapinga kauli ya Dr Slaa mwenyewe ?Usipotoshe Dr Slaa hakumleta Lowassa Chadema...yupo aliyemleta na aliyepokea fedha....hiyo dhambi inaitesa Chadema mpaka leo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyu mzee Milembe inanihusu, anatafuta fulsa KWa nguvu Sana aiseeHuyu Mzee baada ya ccm kumkata kwenye kura za maoni , akaomba kujiunga na Chadema , Chadema ikamsaidia kupata Ubunge na ikampandisha hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama , baadaye mwaka 2015 akashirikiana na Askofu Gwajima kumshawishi Lowassa ajiunge na Chadema , Kamati kuu ikapewa Taarifa na Bwana Lowassa akaingia Chadema na kupitishwa kugombea Urais .
Baada ya Lowassa aliyeletwa na Dr Slaa kupitishwa kugombea Urais , Dr Slaa akajiondoa Chadema kwa Ushawishi wa Mchumba wake na kwa ushawishi pia wa Dr Mwakyembe , akaingia ccm na kuwa mpiga debe wao , akalipwa Ubalozi kwa kazi hiyo ya kupiga debe na kutukana Lowassa na Sumaye , ambao kwa sasa wako wote chama kimoja .
Kwa kufupisha tu nina swali dogo kuhusu huyu Mzee , Juzi alimsifia Dr Magufuli kwa kuwa Mwanademokrasia na kuilaumu serikali kwa kumnyima fursa ya kumuombea alipokuwa Mgonjwa , na kwamba hadi leo moyo wake uko ndani ya magufuli au sijui magufuli ndio yuko kwenye moyo wake .
Sasa hebu msomeni hapa halafu mtueleze kile anachokisimamia .
View attachment 2164960
Hiki ndicho anachopigania Dr Slaa ?Toka mwenyekiti aseme amebadili 'gia angani' na kumkaribisha lowasa, pale pale chama kilionekana ni cha kihuni, tamaa na upumbavu sana.
Ni nani saizi ataandamana pale chadema? Dhambi ya usaliti imewarudia kwenye wabunge 19 akina mama.
Dhambi hii itawatesa sana
Kwa kiasi kikubwa ni kweli kuwa ACT ndiyo wapinzani kwa sababu ya idadi ya wabunge, lakini hata CHADEMA sasa hivi hwana ajenda tena. Ule mkwara waliokuwa wanampigia Magufuli hawana ubavu wa kufanya hivyo kwa mama kwa vile wanataka kuwa kama wanauma na kupuliza, ila wanakuwa wanapuliza kwa nguvu sana kuliko ile nguvu ya kuuma.Samia "amewanyamazisha kabisa wapinzani"?
Una maana wapinzani ni ACT, au siyo?
Hahahahaha akili kubwa,mkuu huyu mzee kwa ufupi ametelekezwa na walio mfadhili ubalozi sasa anatapatapaWenye akili kubwa km yeye wamemwelewa
Tumbo tena si la kawaida Mkuu!Tumbo.
Kabisa Pakawa! Umesema kweli tupu! Anamwita jiwe baba! Njaa haina adabu!Yeye na Mkulu haviivi
Anamtumia ujumbe kiaina
Anasumbuka bure ataishia kuwa kama lyatonga
Kama ana busara atulie aishi miaka mingi vinginevyo....
Nilipoona anamuita mwendazake baba nikajua kuna kitu hakipo sawa kwenye medulla oblangata...
Yeye na mwendazake nani baba?
Dah uchumia tumbo mbaya sana eti baba!Yeye na Mkulu haviivi
Anamtumia ujumbe kiaina
Anasumbuka bure ataishia kuwa kama lyatonga
Kama ana busara atulie aishi miaka mingi vinginevyo....
Nilipoona anamuita mwendazake baba nikajua kuna kitu hakipo sawa kwenye medulla oblangata...
Yeye na mwendazake nani baba?