pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
- Thread starter
-
- #61
Sawa bwasheeWewe acha kukaza jugula. Sajili mtoto kama mtanzania vinginevyo kama unasimamia ukweli kwanini usiende kumchukulia cheti Cha kuzaliwa Kenya. Utaingia gharama kwa kukaza fuvu, nenda uhamiaji wakupe taratibu maana naona huelewi.
AsanteMwamba tulia Mtoto tu Alipozaliwa ndiyo kwenu. Huyo Mkenya Mwamba.
Ila kama hupendi nenda Ubalozi wa Kenya pale Harambe plaza Oysterbay Kenyata Drive na nyaraka zako Alipozaliwa Mtoto wako utakana uraia wa kenya wa mwanao kisha utapewa nyaraka ambazo zitakuwezesha kwenda Rita ili ufanikiwe.
Futilia taarifa za Prof Kabundi juu ya Mambo ya uraia kupitia Youtube.
Sijui ana umri gani, hata ukitaka kumuombea passport itakubidi upeleke kwanza cheti cha kuzaliwa cha Kenya.Okey,
lakini kwanini asipewe hapa cheti na kiandikwe kuwa amezaliwa kenya na mama mkenya ila baba ni mtanzania?
Na je, nikitaka kumuombea passport book sasa hivi atweza kupewa?
Ana mwaka mmoja,Sijui ana umri gani, hata ukitaka kumuombea passport itakubidi upeleke kwanza cheti cha kuzaliwa cha Kenya.
Ndio. Unaweza kupata passport yake kama unasafiri nae kwenda popote, zamani kulikuwa na kurasa za kuandika watoto kwenye passport yako, siku hizi hamna hiyo, ila cheti cha kuzaliwa cha Kenya ndio msingi wa mambo yote kwenye kesi yako hii.Ana mwaka mmoja,
Ila hichi ulichosema sasa ndio nilikua nataka kujua, yaani kumbe naweza kumtengezea ppt ya Tanzania na hicho hicho cheti cha kuzaliwa cha kenya?
Naomba connection za ubwabwaTanzania kuna ujinga sana kwenye jambo hilo.
Siku ukienda kumwandikisha shule ndiyo utafahamu ujinga wetu. Mwalimu shule atakwambia huyu siyo Mtanzania nenda wizara ya elimu, wizara ya elimu ukienda hakuna jibu la moja kwa moja, watakwambia nenda mambo ya nje, mambo ya nje watakwambia nenda mambo ya ndani watakwambialeta ushuzi, leta uharo, leta ujinga mpaka aandikishwe shule uko taabani. Ni ujinga ujinga mtupu, kote humo kila mtu anajifanya anajuwa kumbe hajuwi.
Yaani hata ufanye vipi sasa hivi, ikifikia shule na kutaka passport yake mwenyewe ya kusafiri ndiyo utajuwa kuwa hatujuwi.
Sio ndio maendeleo unayoyapigania ya huyu mzenjiTanzania kuna ujinga sana kwenye jambo hilo.
Siku ukienda kumwandikisha shule ndiyo utafahamu ujinga wetu. Mwalimu shule atakwambia huyu siyo Mtanzania nenda wizara ya elimu, wizara ya elimu ukienda hakuna jibu la moja kwa moja, watakwambia nenda mambo ya nje, mambo ya nje watakwambia nenda mambo ya ndani watakwambialeta ushuzi, leta uharo, leta ujinga mpaka aandikishwe shule uko taabani. Ni ujinga ujinga mtupu, kote humo kila mtu anajifanya anajuwa kumbe hajuwi.
Yaani hata ufanye vipi sasa hivi, ikifikia shule na kutaka passport yake mwenyewe ya kusafiri ndiyo utajuwa kuwa hatujuwi.
Sasa km unataka awe mtanga-nyikani unataka pakuchagulia nchi pa nn au sifa?Mtanzania
Bado sijakuelewaSasa km unataka awe mtanga-nyikani unataka pakuchagulia nchi pa nn au sifa?
Unathani we una utakatifu kuliko ibrahim aliyeamua kusema mkewe ni dada yake....ili asolve tatizo lake muda ule...na Mungu hakuhangaika na Ibrahim akahamgaika na mfalme....! Au elisha aliyesema kuwa wanaemtafuta sio yeye ila ngoja awapeleka kwa wanaemtafuta ilihali alijua wanamtafuta yeye....!!! (2Wafalame 6: 19) amini kuwa kuna vitu vipo nje ya uwezo wako na njia zako haziwezi kuziweka sawa...labda kama unataka kutoa rushwa....au...We endelea kuhangaika la rita baadae utakuta hiyo nchi imeingizwa kwenye list.Nimejaza form, ila nimeshinde
Yes ni dhambi kuongopa, ningeweza kutengeneza tangazo hospitali yeyote ile then nikatoa chetu kirahisi, ila kiukweli ningekuwa nimemdhulumu sana mtoto, baadae akikua atakuwa anasema uongo maisha yake yote, kwani akiulizwa atasema nimezaliwa tz wakati ukweli ni amezaliwa kenya
Kwani si umeshaelekezwa fanya kama kazaliwa mkoani kwako ulipo huwezi nenda katumie mfumo wa usajili uliopo burundiMie baba ni mtanzania, mama ni mkenya
Mpaka sasa ana uraia wa inchi mbili mpaka atakapofika 18
Ila wakuu nimeomba kwa anaejua tafadhali anielekeze naona uvivu kurudi tena rita
We mshamba uraia sio kabila kwamba mtoto atafata kwa babaSi anafata uraia wa baba? Baba si ni mtanzania?
Duh, sio mchezo, Kwahiyo hapo nimewaaibishaje kwa mfanoWe mshamba uraia sio kabila kwamba mtoto atafata kwa baba
Yaan Tanzania washamba kama ww ndy mnatuaibisha.
Kabisa, amri moja tuModerators fungeni huu uzi maana mleta mada hana akili timamu
Kenya inahusika sababu mtoto amezaliwa Kenya, japo ni mtanzaniaEeeh ni Mimi sijaelewa au Sasa Rita sini ya Tanzania inahisika na mambo ya Tanzania sa Kenya itahusishwaje apo
Ushamba mzgo hivi nani alikwambia uraia ni ukabila ety mtoto afuate uraia wa baba hiyo doesn't make sense manDuh, sio mchezo, Kwahiyo hapo nimewaaibishaje kwa mfano
Achana na huyu mshamba hajui lolote broEeeh ni Mimi sijaelewa au Sasa Rita sini ya Tanzania inahisika na mambo ya Tanzania sa Kenya itahusishwaje apo