Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
 
Rais Alichaguliwa Oktoba 25 na akatangazwa Mshindi Oktoba 29 na kaapishwa Novemba 5. Nini matumizi ya Hapo Hapo? By the way si kila kinachofanywa na Marekani tukiige. Mambo mengine yanakuwa hasara kwa taifa
Hasara gani kama angeapishwa January 2016?
 
Hayo ni mambo ya chama kama chadema walifanya hivyo labda waliona sawa lakini hapa tunaongelea nchi mambo ya vyama peleka ufipa na Lumumba.....
Kaka, kwani CHADEMA si chama cha siasa? Kwa nini wasirekebishe kwanza mambo ndani ya chama chao ndipo wawe na mamlaka ya kuhoji masuala ya kitaifa?
 
Kaka, kwani CHADEMA si chama cha siasa? Kwa nini wasirekebishe kwanza mambo ndani ya chama chao ndipo wawe na mamlaka ya kuhoji masuala ya kitaifa?
Chadema ni chama Mimi sina chama naangalia nchi sasa kwanini usijibu hoja zangu bila kuingiza uchama?
 
Mtu ambaye hakujiandaa kuwa raisi kufanya mambo kama yale siyo kosa lake .
Ulishaona wapi raisi wa nchi gani ?anateua watu wasiokuwa na taaluma kwenda kuwaongoza wananchi .
 
Hawa maprofesa ni kimbelembele kama chadema wa kuhubiri mabadiliko, lkn kumbe ndani ya mioyo yao hawataki mabadiliko !!

Kuna haja gani ya kuhubiri mabadiliko lkn kumbe unataka mambo yaende business as usual??

Shame on them
 
Kaka, kwani CHADEMA si chama cha siasa? Kwa nini wasirekebishe kwanza mambo ndani ya chama chao ndipo wawe na mamlaka ya kuhoji masuala ya kitaifa?
Waambie chadema mimi naongelea taifa sio chama hata ungekuwa ni vizuri unamuuliza mbowe hayo mambo Mimi nataka kujua kwanini alifuta semina elekezi wakati anajua hawezi endesha nchi?
 
Punguza papara utatukana bure.
Tatizo unafiria kila aliye jamii forum basi kama si ccm ni chadema ....

Akili za kijinga sana ndio maana nchi aiendelei........
Angalia unavyojiumbua mchana kweupee.
Sababu zangu ni zifuatazo

1: Mimi ni mwanachama halali wa CHADEMA

2: Mimi ni mjumbe wa halimashauri kuu ya CHADEMA Taifa

3: Ni kutokana na wewe kushindwa kutimiza baadhi ya maazimio ya kamati kuu

4: Ukishindwa kufanikisha operation UKUTA!!
Ha ha ha, kamanda vipi tena?
 
Mkuu, katiba ya Marekani si sawa na ya Tanzania. Usilazimishe mambo Mkuu.
Hivi ni nani anayeongelea kuhusu katiba? Huwa mnatambua uwepo wa katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania? Mbona hamuizingatii?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…