mukandarasi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 932
- 275
Rais Alichaguliwa Oktoba 25 na akatangazwa Mshindi Oktoba 29 na kaapishwa Novemba 5. Nini matumizi ya Hapo Hapo? By the way si kila kinachofanywa na Marekani tukiige. Mambo mengine yanakuwa hasara kwa taifa
Kwenye hilo lina faida nyingi sana,kwanza inamsaidia Rais mtarajiwa kuwekwa kwenye loop na kuwa aware na mazingira yanayomzunguka huku akipata muda wa kutosha na washauri mbali mbali juu ya namna bora ya kuongoza nchi.Sio hii ya kuapishwa wiki moja baada ya kutangazwa mshindi.Kwanza unakuwa bado na mihemko sababu ya ushindi.Unaingia ikulu na kuanza kazi,its more likely utafanya makosa mengi mpaka uje ugain momentum.Na hapo unashindwa kurekebisha uliyokosea kwasababu za kisiasa tu.Its very true hii style inabidi ibadilikeRais Alichaguliwa Oktoba 25 na akatangazwa Mshindi Oktoba 29 na kaapishwa Novemba 5. Nini matumizi ya Hapo Hapo? By the way si kila kinachofanywa na Marekani tukiige. Mambo mengine yanakuwa hasara kwa taifa
Unamuona mtu kwenye Tv anakusifia,unaamua kumzawadia ukurugenzi.Sifa nyingine za ki...... kweliMtu ambaye hakujiandaa kuwa raisi kufanya mambo kama yale siyo kosa lake .
Ulishaona wapi raisi wa nchi gani ?anateua watu wasiokuwa na taaluma kwenda kuwaongoza wananchi .
kuwa na semina elekezini muhim na wew ungeipata hicho kichwa chako ungelikuwa unakitumia vizur tatizo umekigeuza boga la kijani ndo maana unasifia kila kituRais Alichaguliwa Oktoba 25 na akatangazwa Mshindi Oktoba 29 na kaapishwa Novemba 5. Nini matumizi ya Hapo Hapo? By the way si kila kinachofanywa na Marekani tukiige. Mambo mengine yanakuwa hasara kwa taifa
NotedKwenye hilo lina faida nyingi sana,kwanza inamsaidia Rais mtarajiwa kuwekwa kwenye loop na kuwa aware na mazingira yanayomzunguka huku akipata muda wa kutosha na washauri mbali mbali juu ya namna bora ya kuongoza nchi.Sio hii ya kuapishwa wiki moja baada ya kutangazwa mshindi.Kwanza unakuwa bado na mihemko sababu ya ushindi.Unaingia ikulu na kuanza kazi,its more likely utafanya makosa mengi mpaka uje ugain momentum.Na hapo unashindwa kurekebisha uliyokosea kwasababu za kisiasa tu.Its very true hii style inabidi ibadilike
Wabongo bwana hata mnachokitaka hamkijui mnapenda kuigaiga tuSio kosa kwa rais kukiri makosa lakini ninavyomjua Rais wetu hawezi kutoka na kukiri hatharani kwamba alifanya,anafanya na ataendelea kufanya makosa ambayo yatakuwa yakiigarimu nchi moja kwa moja.
Rais alifanya wapi makosa?
Wote tunashuhudia kunachoendelea Marekani uchaguzi wao ulifanyika tarehe 8 mwazi huu lakini Trump ajaapishwa mpaka January 20.
Anachokifanya anatengeneza cabinet yake kwa utaratibu kabisa huku akijifunza mambo mbali mbali kwa kupata semina elekezi kwake yeye na watu anaowateua huku akionekana kuwa karibu zaidi na watu Wa saikolojia na watu wa usalama.
Kosa la kwanza alilolifanya Magufuli ni baada ya kuchaguliwa hapo hapo ,Kuapishwa hapo hapo,na kwenda Ikulu hapo hapo.
Kibaya zaidi alipoingia Ikulu na kuzuia semina elekezi kwa wasaidizi wake ilo ndio kosa kubwa alilolifanya.
Semina elekezi ni muhimu sana kwa Rais mwenyewe na wasaidizi wake hasa mawaziri,kukurupuka na maamuzi ya mwendokasi ni kwa sababu Rais na wasaidizi wake hawana semina elekezi mpaka sasa.
Kiufupi Rais Magufuli alitakiwa kuapishwa January 2016.
Tatizo maccm mnachukulia Urais wa nchi ni kama kazi ya Nape au Bulembo. Angepata uelekezi au kukubali kushaurika angekuwa bonge la prezidaa tofauti na sasa anavyoaibisha chama cha majanga na hata sisi tusio mchagua ndani na nje ya mipakaAiseeeeee! Yaani hapo umegonga kwenye Bull. Amesahau pia kuwa Katibu Mkuu wa Chama chake amepata nafasi hiyo bila kuwa na Semina Elekezi
Huyu anajiona ni muhimili uliochimbiwa kuliko mingine na waliomzunguka njaa zinawasumbua hawezi juta labda akistaafu.Sio kosa kwa rais kukiri makosa lakini ninavyomjua Rais wetu hawezi kutoka na kukiri hatharani kwamba alifanya,anafanya na ataendelea kufanya makosa ambayo yatakuwa yakiigarimu nchi moja kwa moja.
Rais alifanya wapi makosa?
Wote tunashuhudia kunachoendelea Marekani uchaguzi wao ulifanyika tarehe 8 mwazi huu lakini Trump ajaapishwa mpaka January 20.
Anachokifanya anatengeneza cabinet yake kwa utaratibu kabisa huku akijifunza mambo mbali mbali kwa kupata semina elekezi kwake yeye na watu anaowateua huku akionekana kuwa karibu zaidi na watu Wa saikolojia na watu wa usalama.
Kosa la kwanza alilolifanya Magufuli ni baada ya kuchaguliwa hapo hapo ,Kuapishwa hapo hapo,na kwenda Ikulu hapo hapo.
Kibaya zaidi alipoingia Ikulu na kuzuia semina elekezi kwa wasaidizi wake ilo ndio kosa kubwa alilolifanya.
Semina elekezi ni muhimu sana kwa Rais mwenyewe na wasaidizi wake hasa mawaziri,kukurupuka na maamuzi ya mwendokasi ni kwa sababu Rais na wasaidizi wake hawana semina elekezi mpaka sasa.
Kiufupi Rais Magufuli alitakiwa kuapishwa January 2016.
Kwani Magu ndio alitaka ama katiba na sheria za inchi ndio zinataka hivyo. Kabla hujatuma kitu jitahidi kupitia sheria na kanuni za uchaguzi. Usikurupuke kiongozi hii itakusaidia sana. Mengine naona kama unaleta porojo tu.Chadema ni chama Mimi sina chama naangalia nchi sasa kwanini usijibu hoja zangu bila kuingiza uchama?
Teh teh teh tehMataputapu namba tumeshazisoma na kuzikariri. Tumekariri hadi four figure.
Viva mataputapu
HAMIA MAREKANI BASI,TUACHE NA JPM WETU.Sio kosa kwa rais kukiri makosa lakini ninavyomjua Rais wetu hawezi kutoka na kukiri hatharani kwamba alifanya,anafanya na ataendelea kufanya makosa ambayo yatakuwa yakiigarimu nchi moja kwa moja.
Rais alifanya wapi makosa?
Wote tunashuhudia kunachoendelea Marekani uchaguzi wao ulifanyika tarehe 8 mwazi huu lakini Trump ajaapishwa mpaka January 20.
Anachokifanya anatengeneza cabinet yake kwa utaratibu kabisa huku akijifunza mambo mbali mbali kwa kupata semina elekezi kwake yeye na watu anaowateua huku akionekana kuwa karibu zaidi na watu Wa saikolojia na watu wa usalama.
Kosa la kwanza alilolifanya Magufuli ni baada ya kuchaguliwa hapo hapo ,Kuapishwa hapo hapo,na kwenda Ikulu hapo hapo.
Kibaya zaidi alipoingia Ikulu na kuzuia semina elekezi kwa wasaidizi wake ilo ndio kosa kubwa alilolifanya.
Semina elekezi ni muhimu sana kwa Rais mwenyewe na wasaidizi wake hasa mawaziri,kukurupuka na maamuzi ya mwendokasi ni kwa sababu Rais na wasaidizi wake hawana semina elekezi mpaka sasa.
Kiufupi Rais Magufuli alitakiwa kuapishwa January 2016.
Haijulikani unalenga nini hasa mkuu, kwani kwa kutopata hiyo semina elekezi wamekosea wapi?Sio kosa kwa rais kukiri makosa lakini ninavyomjua Rais wetu hawezi kutoka na kukiri hatharani kwamba alifanya,anafanya na ataendelea kufanya makosa ambayo yatakuwa yakiigarimu nchi moja kwa moja.
Rais alifanya wapi makosa?
Wote tunashuhudia kunachoendelea Marekani uchaguzi wao ulifanyika tarehe 8 mwazi huu lakini Trump ajaapishwa mpaka January 20.
Anachokifanya anatengeneza cabinet yake kwa utaratibu kabisa huku akijifunza mambo mbali mbali kwa kupata semina elekezi kwake yeye na watu anaowateua huku akionekana kuwa karibu zaidi na watu Wa saikolojia na watu wa usalama.
Kosa la kwanza alilolifanya Magufuli ni baada ya kuchaguliwa hapo hapo ,Kuapishwa hapo hapo,na kwenda Ikulu hapo hapo.
Kibaya zaidi alipoingia Ikulu na kuzuia semina elekezi kwa wasaidizi wake ilo ndio kosa kubwa alilolifanya.
Semina elekezi ni muhimu sana kwa Rais mwenyewe na wasaidizi wake hasa mawaziri,kukurupuka na maamuzi ya mwendokasi ni kwa sababu Rais na wasaidizi wake hawana semina elekezi mpaka sasa.
Kiufupi Rais Magufuli alitakiwa kuapishwa January 2016.
Miaka kumi! Subiri 2020 ndiyo utajua majibu ya makorokoro ya mfalme na kumbuka wale wezi wa kura waliozoea kuwapa ushindi kwa bao la mkono nao wanaisomaUnaidanganya mpaka nafsi yako....mtachanganyikiwa sana hii miaka kumi
Tatizo unafiria kila aliye jamii forum basi kama si ccm ni chadema ....
Akili za kijinga sana ndio maana nchi aiendelei........
Mkuu nasikia mawasiliano ya chama cha mafisi na serikali yamekatika?Tatizo maccm mnachukulia Urais wa nchi ni kama kazi ya Nape au Bulembo. Angepata uelekezi au kukubali kushaurika angekuwa bonge la prezidaa tofauti na sasa anavyoaibisha chama cha majanga na hata sisi tusio mchagua ndani na nje ya mipaka
Hivi kumbe Tanzania ina katiba, ngoja niamke niende huani Kwanza.Mkuu, katiba ya Marekani si sawa na ya Tanzania. Usilazimishe mambo Mkuu.
Mkuu unalosema ni kweli tatizo bwana yule alipewa maelekezo na ndugu zake wa Nchi jirani hasa yule mrefu mwenye macho kama gorori kuwa akitaka kutawala kwa amani azuie mikutano ya vyama vya upinzani huoni kule kwao anavyowaminya wapinzaniHivi kumbe Tanzania ina katiba, ngoja niamke niende huani Kwanza.
Kwahiyo suala na uhuru wa kufanya mikutano ya siasa, ilifutwa kwa penseli au lenyewe lipo kwenye ilani za vyama.?
Kidiri ya uwezo wa akili yako kipi muhimu kati ya Katiba ya nchi na Ilani ya chama katika mustakabali wa ujenzi na utawala bora wa nchi?
Unazengua tu porojo za siasaKwani Magu ndio alitaka ama katiba na sheria za inchi ndio zinataka hivyo. Kabla hujatuma kitu jitahidi kupitia sheria na kanuni za uchaguzi. Usikurupuke kiongozi hii itakusaidia sana. Mengine naona kama unaleta porojo tu.
Haaaah umejibu hoja hapo na wewe sindio ongera sanaUsiwe na hasira! zipo sababu za kufanya nchi isiendelee lakini sio hizi bhana! Mimi, wewe na yule tukiendelea nchi yenyewe inaendelea. Shida iko watz wanataka nchi iendeleee kwanza ndio shedah ilipo, nyie mnatumia muda wenu kubishana na kujaza thread hapa matokeo yake JF inasonga ado ado kutokana na fan base kukua endeleeni kubishana ili sponsors watoe mitonyo.
Naona point hapoRais Alichaguliwa Oktoba 25 na akatangazwa Mshindi Oktoba 29 na kaapishwa Novemba 5. Nini matumizi ya Hapo Hapo? By the way si kila kinachofanywa na Marekani tukiige. Mambo mengine yanakuwa hasara kwa taifa