Mpaka unaona aibu kueleza kuwa tumepotea.Kuna thread humu inaelezea ahadi za Magufuli nenda kaisome....
Halafu kuna Ilani ya CCM nenda kaisome pia.
Halafu rudi hapa uje kutuuliza ambacho hujakielewa....
HAYA ZUNGUSHAA ZUNGUSHAAA TENAA ZUNGUSHA MIKONOOO....MABADILIKOOOO!!!
Kushuka makusanyo ya kodi ndio minyororo. Kukosekana sukari,....Akupeleke kwani wewe umekuwa zombie? Raisi Magufuli hayuko hapa kukupeleka wewe popote pale, bali wewe ndiyo unatakiwa ujipeleke mahali kwingine, wewe ndiyo unatakiwa ujitoe hapo ulipo na kwenda sehemu nyingine, wewe ndiyo unatakiwa ujifungue minyonyoro uliyofungwa na fisadi Lowasa, Mbowe & Co. na kuwa mtu huru Raisi Magufuli hawezi kulifanya hilo na wala siyo kazi yake!
hukusoma username yake?Stupid contribution.
Nidhaili hamna majibu bali ngonjera.Naona muelekeo wa wazungusha Mikono ulikuwa ni Monduli Machungani....!!
Nikikwambia mwehu utakasirika lakini ndo ukweli.Nenda kakamue maziwa Monduli kama huelewi muelekeo wa nchi
Bila ufumbuzi wa taka zinaendaje dampo.Nashauri moderators kama wapo na wanahitaji mijadala makini kwa maendeleo ya jukwaa wafanye kazi yao kwa kuondoa hizo hoja za nje ya mada na kebehi ili watu makini tujadiliane uelekeo wa nchi yetu.
Wengi tumeanza kuona nyota kwa vile serikali haijishugulishi na vitu vya kukuza uchumi, imetunga sheria ya kufanya usafi kila mwezi na faini zake, lakini imeshindwa kuifanyia marekebisho sheria ya kazi inayowapa wageni fursa za kupora ajira. Haijafanya chochote kuboresha mazingira ya kufanya biashara so far not so good
ndo kauli zenu za miaka yote!!! Inamaana maprofesa wote hawafai?Huu utawala hautapga hatua katika maendeleo maana JPM ana dhamira nzuri ila watendaji wake hawatak kubadilika.... ataishia panga pangua na siku znaenda.... hakuna priorities, kipi kianze kipi kimalizwe... bajeti za wizara hazi reflect hali halisi.... uhaba wa maisha utazid
Wasiwasi wake ni mwenendo wa makusanyo ya mapato na mwelekeo wa bajeti.Muda mwingine unaweza kuonyesha uwerevu lakini kupitia uwerevu wako ujinga wako pia ukaonekana, hivi Dkt Magufuli tangu aingie madarakani alikua anaenda na bajeti aliyoiandaa au aloandaa Kikwete? Tabia za namna hii haitusaidii sisi kama watanzania, hata kama aumpendi jitahidi kupima kwa haki, nafikiri unafuatilia bunge la bajeti na kilichomo unakiona hapo ndo tuanzie, nchi haiendeshwi wewe unavyotaka bali Rais anavyoona inafaa muda wa kupima anafanikiwa au la bado aujafika kupitia bajeti hii tutaweza kupima ni kwa kiasi gani Rais anafanikiwa lakini hii tabia ya kumkatisha tamaa Rais haifai ni tabia za watu wenye husuda na zaidi wamejaliwa wanawake kuwa nazo nchi ikiyumba sio yeye Rais atakayeteseka bali ni sisi wananchi, ni jukumu letu kukosoa pale palikosewa na kuonyesha njia sahihi ya kupita lakini kukosoa tu bila kuonyesha nini kilitakiwa kifanyike hiyo ni tabia ya kike
Jitambue ndugu hiyo haikusaidi ni ujinga tu.Watu wa mamviii utwajua tuu, na kijiwe chao pale mikochenii! na stori zao baada ya kuutwikaa!
Haha mkuu sijui wabongo hutumia vigezo gani kumuona mtu anaweza!!!Amesema mpaka watu walimie meno.
Ndiko anakotaka kutupeleka.
Akili mbovu amekuonyesha kadi ya uanachama, mtu mkitofautiana hoja unmpangia na chama, vp Bashe ni Chadema.?Ofisi ipi hiyo ya umma unayoisema ?by the way
Ofisi za Chadema mikoani zina karatasi?
Sio jibu na hujui jibu nilipi.Utajuaje umepotea wakati hujui unakwenda wapi!
Utapoteaje wakati hujui unapokwenda? JPM anayo ilani wewe ulikuwa unazungusha mikono sasa umedandia safari ya watu tuliza kipago uone driver anavyolenga madaraja
Hilo ndio jibu?KUNJAA NGUMI, zungurusha, zungurusha, mabadikooo-lowasaaaaaa, LOWASAAAA-Mabadilikoooo! twende kaziii, tumewashika pabaya, niliwaambia niachienii mimi nawajua CCM! Kama nawaona wazungurushaa mikonoooo vileee!
Ni swali gumu kwenu ndio maana mnaangaika. Majibu hamna.Unaposema "anatupeleka wapi" ili kukujibu lazima ueleze kuwa ana/metutoa wapi. Wapi tulikuwa ndo tujue wapi tunaenda badala ya kuzungusha mikono.
Kumbe unaelewa ee!!!bac kuwa mpole kuanzia Jully makamuz yanaanza.Saiv bado bajeti inayotumika ni ya mjombaHivi mkuu makusanyo ya mwezi April yalikuwa trilioni ngapi? Na za mwezi May je?
Zamani tulikuwa tunatangaziwa mapato na matumizi ya serikali lakini kwa sasa ni kimya kabisa. Pia ukiongea na watumishi serikalini watakwambia hakuna hela ya DEVELOPMENT imetumwa mwezi wa nne na wa tano, pia hata hela ya kuendesha ofisi maarufu kama OC haijatumwa kwa miezi miwili. Hii ni dalili kuwa nchi haina muelekeo mzuri kiuchumi ingawa sisi wengine tunampa muda huyu nahodha wetu hadi atakapoanza kutekeleza bajeti yake mwezi July
Ha uko sahihi hekima na busara ni muhimu.Unajua dawa ya moto ni moto tu na mtu akileta mada kebehi dawa yake ni kumjibu kebehi tu.
Hata hivyo nikusifu kwa kumvumilia na kumwelewesha.
Check unavyodhihirisha upumbavu wako,nyaraka na mwelekeo wa nchi wap na wapi?Lala ukue unaleta tu michosho humu ndaniNchi haiendeshwi kwa matakea ya rais ndiyo maana kuna miongozo kama ilani, mipango ya muda mrefu na mfupi, katiba, sheria, miongozo na nyaraka mbali mbali. Wananchi ni haki yetu kuhoji, kukosoa, kushauri na kulalamika kama mambo hayaendi vizuri. Tatizo linakuja pale anayehoji au kukosoa anapoonekana adui. Tabia hii siyo nzuri na haiwezi kutupeleka popote kama taifa
Poa mkuu jamaa hovyo kweli.Acha hizo tutaendeleza matusi badala ya majadiliano.