Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Hakuna asiyependa hayo!
pia boos wetu hakuna anayedoubt dhamira njema alizonazo, ingawa wapo wanaochukizwa na utendaji wake ndio ubinadamu!
mimi binafsi yangu naona angekuwa slow to react
angeacha wa chini watoe kauli Zaidi na yeye ana-act mwisho wakati yuko certain kuwa anachokiamua sasa kimefanyiwa utafiti wa kina!
mfano:
issues za sukari, angewaacha mawaziri wapambane, yeye akija ndio tie breaker! jibu lake ni la kubalance either tunafunga mtu au tunafikia muafaka!
ubaya wake yeye anasema kwanza, hata akikosea serikali haina tena msemaji mwingine! angekuwa wa mwisho kuzungumzia mambo haya madogomadogo na wa kwanza kwa issues kubwa!
Ni lazima kauli ziwe nyingi kwa vile uozo ulikuwa mwingi pia, tusubiri jigsaw ikamilike ndio tutapata picha kamili na sote tutafaidika!
 
mungu baali
 
Kuhusu AHADI kuna hili la Mikopo ya wanafunzi wa elimu ya Juu..."HakunaMtu atakayekosa mkopo.fedha zenyewe mkopo."
..Mwaka mmoja baadae...kuna wanaoukosa na KUUMIA wakiwa vyuoni..
 
Kukurupukia mambo halafu hauna mikakati inayoeleweka lazima utumbukie shimoni.
 
Ni lazima kauli ziwe nyingi kwa vile uozo ulikuwa mwingi pia, tusubiri jigsaw ikamilike ndio tutapata picha kamili na sote tutafaidika!
Hawa watumbuliwa wamekuja na mkakati wa kuzua uongo ili kupunguza kasi ya jpm. kazi bure tu. eti ana kurupuka ana papara. kama paka anakamata panya haijalishi kama ana kurupuka au ana papara.
 
Mafisadi mmebanwa kwenye kona.
Mtanyooka tu
 
Hawa watumbuliwa wamekuja na mkakati wa kuzua uongo ili kupunguza kasi ya jpm. kazi bure tu. eti ana kurupuka ana papara. kama paka anakamata panya haijalishi kama ana kurupuka au ana papara.
Ikiwa lengo ametimiza haina shida!
kwa mfano wako: Sisi hapa tunamzungumzia "PAKA ALIYEACHA KUKAMATA PANYA NA SASA AMEAMUA KUKAMATA MIJUSI NA KUTUJAZIA MIZOGA"
shida ya watanzania ni kaucha kuangalia hoja husika!
mfano: how many majipu yaliyotumbuka?
wangapi kati yao wanahukumiwa/shutumiwa kwa lolote!
wangapi michakato yao ya kuwatumbua ilifuata taratibu za utumishi za kuwasimamisha?
Ni wote wenye makosa sawa wametumbuliwa?
tunazungumzia kuwekeza ktk viwanda na huu ndio mkakati number 1 wa serikali hii!
sasa kama tajiri number 1 Africa anakimbia, nani mwingine unaweza kumuita aweke pesa yake Tanzania!
kuwa msema kweli na kufungua kiwanda ni vitu tofauti!
msema kweli .... mpenzi wa Mungu kwa mantiki hii tujenge tu makanisa/misikiti!
Viwanda vinahitaji mbinu, mikakati na negotiation skills za hali ya juu. hakuna ubabe kwa mtu mwenye pesa zake!
tuache kuwapotosha wanasiasa, tuwaambie ukweli ni for our own good!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…