Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Mkuu uko serious? Mbona hiyo ID yako ya ISIS ni kitu negative? Tukiiona tu tunakukumbuka kuchinjana, what is positive about that. Anyway nimeshindwa kufuta kama vipi liacheni hili lithread lishuke chini [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
 
Mwaka mmoja kama alikua anaelekea kuzuri, tungeweza kusoma alama za nyakati, miaka mitano tutakua wapi, naomba niambie tunaelekea wapi ukiangalia alama za nyakati kwa sasa...
 
Amen RA
 
Mkuu uko serious? Mbona hiyo ID yako ya ISIS ni kitu negative? Tukiiona tu tunakukumbuka kuchinjana, what is positive about that. Anyway nimeshindwa kufuta kama vipi liacheni hili lithread lishuke chini [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
 
Mkuu uko serious? Mbona hiyo ID yako ya ISIS ni kitu negative? Tukiiona tu tunakukumbuka kuchinjana, what is positive about that. Anyway nimeshindwa kufuta kama vipi liacheni hili lithread lishuke chini [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
magu ni failure, he won't leave any legacy behind zaidi ya aibu tupu!
 
Mkuu uko serious? Mbona hiyo ID yako ya ISIS ni kitu negative? Tukiiona tu tunakukumbuka kuchinjana, what is positive about that. Anyway nimeshindwa kufuta kama vipi liacheni hili lithread lishuke chini [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5]
Acha tulishushe Rebeca 83 ukiletewa za kuleta nibonyeze nitakutetea kisheria kortini. Wee komaa
 
ISIS News - Latest Updates, Pictures and Videos on the Islamic State | Daily Mail Online

Mtu wa kawaida, akiskia ISIS naelewa hili, sio Goddess, najua unajua hili ila unanizuga tu lol
Hamna ndugu yangu ili nipate faida gani. ..unajua binadamu hubadilisha jina zuri kuwa baya na hasa a powerful name kama GOD and dog. ..ndiyo maana MUHUBIRI (Biblia Takatifu ) anasema UFALME WA MWENYE ENZI MUNGU UMEFICHWA NA NI HAKI YA MFALME KUUTAFUTA. ..ISIS NI GODESS OF MAGIC. ..
Please Google OSIRI ISIS NA HORUS. ..it's beautiful indeed. ....have a nice day my friend
 
2020 kuna watu ndani ya chama watajitokeza kumpinga, ule mfumo wao wa kuachiana mpaka kiongozi amalize miaka 10 naona safari hii hawatokubali, NEC wajiandae na mchakato wagombea 2020
 
Mwaka mmoja kama alikua anaelekea kuzuri, tungeweza kusoma alama za nyakati, miaka mitano tutakua wapi, naomba niambie tunaelekea wapi ukiangalia alama za nyakati kwa sasa...
Vipi hutaki tena ifutwe?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…