Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Ndugu zangu, kwanza niwasabahi, najaribu kujiuliza aina hii ya utawala wa sasa unatumia mfumo upi, lakini naambulia kuona mfumo mfanano wake ni ule wa Kisoshalist.
Si semi hauna mazuri but, jinsi unavyoenda kuna hali ya hatari mbeleni.
Kuminywa kwa uhuru wa kujieleza na kukamatwa raia halali wanapoandika ktk mitandao si dalili njema kamwe.
Chief anaweza kuwa na nia nzuri but kuwanyima raia uhuru wa kueleza hisia zao ni uvunjifu wa haki.
Kwa karne hii kuwa na mawazo ya kuzuia umma kusema ama kutoa hisia zao si sahihi kamwe.
Kuwa na Naibu Spika aina ya Miss Tulia, ni janga jingine.
 
Nilidhani maisha ya maskini yataboreka ila naona kiza kinene.
1) Huku mtaani watu wameanza kusahau ladha ya sukari.
2) Wakazi wa mabondeni ambao wengi ni hohehahe pressure ipo juu.
3) Maskini waliotaka kuona wabunge wao wakiwa Bungeni na jinsi. wanavowasemea hayo matatizo yao sasa imekua ndoto ya alinacha.
4) Wanafunzi wa maskini kule UDOM sasa hivi wanalia, sidhani kama kuna mtoto wa kigogo pale.
5) Bado matajiri wa EPA, Escrow wanadunda kweli, maskini tunakiona ukiiba kuku unageuzwa tairi,wenzio wanabeba na sandarusi na viroba wanasepa.
 
Bado huja-comment hapo kwako kivingine, TCRA wanakudaka....
 
Kwa kutumia mamlaka liyopewa kwa nguvu ya walio wengi bungeni. Akaamua kuukandamiza utu kwa kuna mjadala wa mwanafunzi zaidi ya 7000 hauna uzito na hauna mashiko.

Huku ni kudharau watanzania. Ni kutumia mamlaka kuwanyima haki watoto wale wa maskini ambayo JPM amekuwa akiimba kila Leo kuwa anawajali na ndio waliomchagua.

Huu ni unafiki wa hali ya juu kwa watanzania. Eti Tindu lisu na Bulaya kuliona bunge ni 2017. Hivi ni hiyo kamati iliyowapeleka bungeni au? Naibu spika ametumia nguvu kuilinda serikali. Kitu ambacho ni udhalimu kwa watanzania waliowachagua wawakilishi wao wawawakilishe bungeni. Leo wanaambiwa wasihudhurie vikao kwa kutetea bunge kuonekana live. Ubabe huu wa museven mnataka muujaribu na huku?

JPM Sijui tunakoelekea kama ni salama.

Nidhamu ni muhimu sana ika sidhani kama hiyo ni njia bora ya kutengeneza hilo. Kanuni zipo na zitumike kuleta nidhamu kwa usawa.
 
"You can't take whisky and stay sober"
Mlimchagua wenyewe.
 
Kwa kutumia mamlaka liyopewa kwa nguvu ya walio wengi bungeni. Akaamua kuukandamiza utu kwa kuna mjadala wa mwanafunzi zaidi ya 7000 hauna uzito na hauna mashiko.

Huku ni kudharau watanzania. Ni kutumia mamlaka kuwanyima haki watoto wale wa maskini ambayo JPM amekuwa akiimba kila Leo kuwa anawajali na ndio waliomchagua.

Huu ni unafiki wa hali ya juu kwa watanzania. Eti Tindu lisu na Bulaya kuliona bunge ni 2017. Hivi ni hiyo kamati iliyowapeleka bungeni au? Naibu spika ametumia nguvu kuilinda serikali. Kitu ambacho ni udhalimu kwa watanzania waliowachagua wawakilishi wao wawawakilishe bungeni. Leo wanaambiwa wasihudhurie vikao kwa kutetea bunge kuonekana live. Ubabe huu wa museven mnataka muujaribu na huku?

JPM Sijui tunakoelekea kama ni salama.

Nidhamu ni muhimu sana ika sidhani kama hiyo ni njia bora ya kutengeneza hilo. Kanuni zipo na zitumike kuleta nidhamu kwa usawa.
Salama kabisa si kuna vifaru, ndege za kivita, AK 47 fanya fyokofyoko uone
 
Kweli mfumo kristo hauwezi kuisha nchi hii

Rais anasemaje eti alimsikia mzee wa upaka analalamika kuwa barabara inayopita kwake mbovu kwa hio kaenda kujionea mwenyewe...
Na katoa ahadi ya kujengwa
 
nyie ndo wale wachache anaosemaga magufuli tumwombee ili aweze kuwashinda kwa sababu kila anachokifanya kinawaumiza
 
Kweli mfumo kristo hauwezi kuisha nchi hii

Rais anasemaje eti alimsikia mzee wa upaka analalamika kuwa barabara inayopita kwake mbovu kwa hio kaenda kujionea mwenyewe...
Na katoa ahadi ya kujengwa
Jpm hela utazitoa Wapi kila dhehebu likidai barabara utaleta shida kidogo
 
Sasa unatetea watu wanaokiuka kanuni za BUNGE walizo zitunga wenyewe????.....sasa unataka hizo kanuni zimuadhibu nani?....Hapa unalalamika kisa zimewaadhibu wabunge wa CDM si sawa acha kanuni zifanye kazi tulizoea kuishi kwa mazoea sana
 
Ukiaangalia kwa makini utakuta wanaolalamika ni wale wale.
Team Lowassa ambao walidhani jamaa atafeli
Chadomo ambao wamekosa hoja kwa wananchi wanatafta upenyo wamekosa... Wanabaki kushadadia na kudandia dandia hoja kwa mbele ooh Mara democrasia, Mara bunge live, Mara watumishi wasitumbuliwe, yaani hawaeleweki wamesimamia kwenye nini
Kundi la mwisho ni wale walikuwa wanaishi kwa Dada zao huku wakitegemea Shemeji aibe fedha za umma waneemeke, hawa ndio wengi yaani hawataki kusikia neno jipu, si kwa Shemeji tu na wengine walikuwa ni watu wao wa karibu.

Mtajiju, Go go go Mr. President
 
Hivi anavyofanya JPM kama angekuwa anafanya Jk, Wakristo wote kwa pamoja wangepaza sauti kukemea hilo jambo
Lakini kwa kuwa Waislam wa Tanzania ni wapole na wanyenyekevu kwa chama na serikali... wanaamua kuumia ndani kwa ndani
 
Kwa kutumia mamlaka liyopewa kwa nguvu ya walio wengi bungeni. Akaamua kuukandamiza utu kwa kuna mjadala wa mwanafunzi zaidi ya 7000 hauna uzito na hauna mashiko.

Huku ni kudharau watanzania. Ni kutumia mamlaka kuwanyima haki watoto wale wa maskini ambayo JPM amekuwa akiimba kila Leo kuwa anawajali na ndio waliomchagua.

Huu ni unafiki wa hali ya juu kwa watanzania. Eti Tindu lisu na Bulaya kuliona bunge ni 2017. Hivi ni hiyo kamati iliyowapeleka bungeni au? Naibu spika ametumia nguvu kuilinda serikali. Kitu ambacho ni udhalimu kwa watanzania waliowachagua wawakilishi wao wawawakilishe bungeni. Leo wanaambiwa wasihudhurie vikao kwa kutetea bunge kuonekana live. Ubabe huu wa museven mnataka muujaribu na huku?

JPM Sijui tunakoelekea kama ni salama.

Nidhamu ni muhimu sana ika sidhani kama hiyo ni njia bora ya kutengeneza hilo. Kanuni zipo na zitumike kuleta nidhamu kwa usawa.
Nimeipenda sentensi ya mwisho kwamba kanuni zipo na zitumike kuleta nidhamu kwa usawa. Hivi kanuni hazikutumika kwa usawa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom