wanaojulikana
JF-Expert Member
- Sep 14, 2017
- 576
- 901
SMG zanini sasawakati NASA wanaunda vitu Chadema mnaleta uhanaharakati
Mimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii
Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
hivi zaidi ya kulipa kodi mnataka wananchi tufanye nini? sera mbovu na utawala wa kilimbukeni na kishamba wa magufuli ndio tatizo la nchi hii kwa sasa.Mpaka leo mnakuja na kutambia Magufuli hafai lakini hamtwambii m badala wake awe nani??
NI UJINGA KWA MTU MWELEWA KUTEGEMEA MAENDELEO KUTOKA KWA MWANASIASA YEYOTE YULE HAPA DUNIANI.
Hakuna nchi hata moja iliyoweza kuwaajiri wasomi wake woooooote waliohitimu kutoka vyuo mbalimbali duniani?
Usomi wa mtu faida yake ni kumtatulia mtu changamoto zake, vinginevyo unakuwa ni utumwa wa aina nyingine tena.
Faida ya msomi ni kutatua changamoto za maisha katika jamii ili jamii ijivunie kusoma kwako, shida inakuja pale wewe mwenyewe unapokuwa changamoto hasi katika jamii yako.
Kuna mifano ya wasomi wachache anbao elimu zao zimetumika kutatua changamoto za jamii zao na hao hutawasikia na kelele hizi.
KILA SIKU UNALIA LIA SERIKALI IKUFANYIE NINI, WEWE UMEIFANYIA NINI TOKA UWEMO HUMU??
Mimi kwa sasa sijawahi amini nabsitowahi amini tenaa tuhuma zinazoletwa na upinzani dhidi ya viongozi wa chama tawala hata uniletee ushahidi wa kuona mimi mwenyewe.hivi zaidi ya kulipa kodi mnataka wananchi tufanye nini? sera mbovu na utawala wa kilimbukeni na kishamba wa magufuli ndio tatizo la nchi hii kwa sasa.
mi hili la mkutano wa chama ikulu kama sio kiburi kwani watanifanyaje sijui wahusika walifikiria nini,sina kumbukumbu kama hata Nyerere mwenyewe aliwahi kufanya hiviMimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii
Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Kamuulize kwanini mtoto wake alikufa kwa kunywa sumu ndivyo akiwezacho kuzalisha hadi watotoKweli wewe ni mjinga kuliko watu wote duniani na mbaya zaidi hujui kama ni mjinga. Nani alikuambia maendeleo ya nchi yanaletwa na mtu mmoja hata hapo kwako maendeleo yataletwa na wanafamilia wote!! Sasa itakuwa nchi?? Ila kukiwa na kiongozi makini anaweza kusaidia kuleta maendeleo!!
Ni upumbavu wa kupindukia kulinganisha vyama hivi, ccm na cdm, eti ukisema vyote ni vya hovyo . . , wakati kuna chama kimoja kimeongoza nchi kwa miaka 40 na kingine hakijapewa hata nafasi ya kuongoza Halmashauri kwa uhuru . . !Ukiona raia wanaamua mambo ya maendeleo kwa hasira ujue wote ni wapumbavu.
Kwanza mi niseme tu akili za wanafisiemu na wana chagadema wote ni moja yani ya vichaa. Tofauti zao ni ndoogo mno. Yani mwanafisiemu ka kaa kavuta kiti kasubiri maendeleo kutoka kwa Magufuli mpaka leo hayajui maendeleo hayo
Mwanachagadema mpaka leo kakaa akiamini kuwa chama chaje ndio kinaouwezo wa kuleta maendeleo akasahau kuwa mpaka leo ni chama kisicho na mission wala vision.
Misingi ya vyama vya siasa tanzania ni ujinga na upumbavu wa mtanzania.
Limtu nyumba kijijini inalibomokea juu kuna bendera mpya ya ccm, si upumbavu huo
Limtu liko ndani ya chadema miaka nenda rudi lakini maamuzi ya chama yanafanywa na mtu mmoja hafu bafo linaamini demokrasia na kuletewa maendeleo si upumbavu huo??
SIJAKIONA CHAMA CHA SIASA TANZANIA CHENYE MASILAHI YA WATANZANIA, HAKIPO, NARUDIA TENA HAKIPO KAMA KIPO MNIJUZE
Moving without direction is useless
Sasa nyinyi Wawili mnapendeza je?! Ingawa wote mko sawa?!Having direction without moving is useless
Hapo mwisho nimecheka kwa sauti alafu nikondani mwenyewe!Mimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii
Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]