Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
....Utaua Watoto Baba Jeni weee! Ulipotupita kituo cha basi, na mvua inanyesha......Yu wapi Hamza Kaamka? Mwana Kasimbaghu?
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Mimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii

Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]

Kukomesha rushwa, kukusanya kodi na uwajibikaji makazini ni maendeleo priceless.
 
Mpaka leo mnakuja na kutambia Magufuli hafai lakini hamtwambii m badala wake awe nani??

NI UJINGA KWA MTU MWELEWA KUTEGEMEA MAENDELEO KUTOKA KWA MWANASIASA YEYOTE YULE HAPA DUNIANI.

Hakuna nchi hata moja iliyoweza kuwaajiri wasomi wake woooooote waliohitimu kutoka vyuo mbalimbali duniani?

Usomi wa mtu faida yake ni kumtatulia mtu changamoto zake, vinginevyo unakuwa ni utumwa wa aina nyingine tena.

Faida ya msomi ni kutatua changamoto za maisha katika jamii ili jamii ijivunie kusoma kwako, shida inakuja pale wewe mwenyewe unapokuwa changamoto hasi katika jamii yako.

Kuna mifano ya wasomi wachache anbao elimu zao zimetumika kutatua changamoto za jamii zao na hao hutawasikia na kelele hizi.

KILA SIKU UNALIA LIA SERIKALI IKUFANYIE NINI, WEWE UMEIFANYIA NINI TOKA UWEMO HUMU??
hivi zaidi ya kulipa kodi mnataka wananchi tufanye nini? sera mbovu na utawala wa kilimbukeni na kishamba wa magufuli ndio tatizo la nchi hii kwa sasa.
 
UKAWA mmempa ugombea urais Lowassa baada ya kumuita fisadi miaka karibu kumi. Na sababu iliyowafanya mumpe ugombea rais sio maendeleo. Hamfichi mnasema ni kwa sababu anapendwa na watu.
Hiyo nchi Mungu aisaidie. Kwa wenzetu mtu akipata kashfa mpaka kuachia ngazi uwaziri mkuu. Acha kugombea urais hata kwenye siasa anapotea. Na hiyo ni kama atasalimika kufungwa jela kama gavana McDonald wa Virginia Marekani.
 
hivi zaidi ya kulipa kodi mnataka wananchi tufanye nini? sera mbovu na utawala wa kilimbukeni na kishamba wa magufuli ndio tatizo la nchi hii kwa sasa.
Mimi kwa sasa sijawahi amini nabsitowahi amini tenaa tuhuma zinazoletwa na upinzani dhidi ya viongozi wa chama tawala hata uniletee ushahidi wa kuona mimi mwenyewe.

Siku ya kusafishwa ikifika utajiraumu na utatamani umuombe radhi.

Mpaka kesho huwa namuomba, msamaha Lowasa kimoyomoyo, kikwete namuomba msamaha kimoyomoyo kwani sifa wanazozipata leo wakati kipindi kile nilitamani nikaibe lile panga la buchani basi tuu
 
Mimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii

Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
mi hili la mkutano wa chama ikulu kama sio kiburi kwani watanifanyaje sijui wahusika walifikiria nini,sina kumbukumbu kama hata Nyerere mwenyewe aliwahi kufanya hivi
 
Kweli wewe ni mjinga kuliko watu wote duniani na mbaya zaidi hujui kama ni mjinga. Nani alikuambia maendeleo ya nchi yanaletwa na mtu mmoja hata hapo kwako maendeleo yataletwa na wanafamilia wote!! Sasa itakuwa nchi?? Ila kukiwa na kiongozi makini anaweza kusaidia kuleta maendeleo!!
Kamuulize kwanini mtoto wake alikufa kwa kunywa sumu ndivyo akiwezacho kuzalisha hadi watoto
 
Kama umeelimika kiasi cha Phd..haiitaji saana elimu ya uchumi kuelewa kwamba kuna "economic diplomacy"...one bad move can hurt the whole system!
Kama nchi ni yetu sote,lets discuss issues,lets argue,kwa mwendo huu,sio sahihi.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Ukiona raia wanaamua mambo ya maendeleo kwa hasira ujue wote ni wapumbavu.

Kwanza mi niseme tu akili za wanafisiemu na wana chagadema wote ni moja yani ya vichaa. Tofauti zao ni ndoogo mno. Yani mwanafisiemu ka kaa kavuta kiti kasubiri maendeleo kutoka kwa Magufuli mpaka leo hayajui maendeleo hayo
Mwanachagadema mpaka leo kakaa akiamini kuwa chama chaje ndio kinaouwezo wa kuleta maendeleo akasahau kuwa mpaka leo ni chama kisicho na mission wala vision.


Misingi ya vyama vya siasa tanzania ni ujinga na upumbavu wa mtanzania.

Limtu nyumba kijijini inalibomokea juu kuna bendera mpya ya ccm, si upumbavu huo

Limtu liko ndani ya chadema miaka nenda rudi lakini maamuzi ya chama yanafanywa na mtu mmoja hafu bafo linaamini demokrasia na kuletewa maendeleo si upumbavu huo??

SIJAKIONA CHAMA CHA SIASA TANZANIA CHENYE MASILAHI YA WATANZANIA, HAKIPO, NARUDIA TENA HAKIPO KAMA KIPO MNIJUZE
Ni upumbavu wa kupindukia kulinganisha vyama hivi, ccm na cdm, eti ukisema vyote ni vya hovyo . . , wakati kuna chama kimoja kimeongoza nchi kwa miaka 40 na kingine hakijapewa hata nafasi ya kuongoza Halmashauri kwa uhuru . . !

Unalinganishaje chama kimoja ccm, kina wanachama na makada IKULU, JWTZ, TISS, MAGEREZA, BUNGENI, POLISISIEM . . ,
na chama kingine (cdm) madiwani, wanachama , na wabunge wake wanawindwa kwa bunduki mchana kweupe kila kona ya nchi . . ??!

Hivi wewe una akili sawasawa kweli . . ?!!

Unafananishaje vyama hivi viwili , wakati chama kimoja kina miaka 40 ya kutawala, kikiwa ndio chama kilichoasisi mifumo hii ( ya kiusalama, uchumi, afya, sera etc) tunayotumia mpaka sasa . . , na chama kingine Sera zake hazijapata hata kujaribiwa hapa nchini . . ??!!

Kwa akili hii kwa nini nisikutukanie mamaako . . ??! [emoji35] [emoji35] [emoji35]
 
Na hili la kusema Magufuli kabana uhuru wa kuongoea ni upuzi mtupu.

Wanaosema hayo wanayasemea kwenye mitandao na vyombo vya habari.

Kukamatwa hawakamatwi kwa kusema wanakamatwa kwa wanayoyasema. Uhuru bila ya mipaka ni fujo.

Viongozi wengi wa wapinzani wa Tanzania kama wangekuwa Marekani au Uingereza wangekuwa jela na kama wangekuwa Iran au North Korea wangekuwa jela.
 
Mimi kama Mtanzania kijana ninae jielewa nimesoma naona ni ujinga na upumbavu wa hali ya juu kuamini huyu Magufuli ataleta maendeleo katika nchi hii

Jana usiku nlikua naangalia video jinsi watu wanavyofanya kazi katika International Space Station ,kile chombo kimetengenezwa kwa technology ya hali ya juu kutoka kwa wamarekani na nchi tajiri kama 15 hivi duniani
Nkajiuliza hapa kwetu kuna mtu anaitwa Magufuli ambae ndo mkuu wa nchi watu wamemwona kama mkombozi wao ndo mzalendo eti anaweza kuibadilisha Tz wakati yeye mwenyewe kakalia majungu,mipasho ,kejeli masimango kwa watu ambao wanaweza wakaipaisha Tanzania yetu kwenye maendeleo ya kufikia kuanzisha ISS yetu
Tumeshaona jinsi serikali ya pombe inavyokopa hela kimya kimya tena mabilioni ya dola
Pangaboi yetu moja imekamatwa Canada kwa madeni yasiyo na kichwa wala miguu mtu katoa taarifa anaitwa mchochezi
Pombe hajaongeza salary kwa watumishi
Pombe kavuruga katiba kwa kuminya mikutano ya kisiasa ambayo ipo kisheria
Pombe kavuruga uchumi wananchi wake now wanateketea kwa njaa ya mkwanja na mlo mmoja
Pombe kabana Uhuru wa kuongea na kutoa maoni yani hataki kukosolewa kana kwamba nchi ni Mali yake
Vikao vya chama POMBE anavifanyia ikulu yani jumba la watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama yeye anafanyia kikao cha chama chake huu ni ujuha
Itafika 2020 naamini pombe hakuna la maana atakalofanya kwa nchi na wananchi kwa ujumla zaidi ya kuongeza Shida tu
2020 huyu jamaa tumpige chini anatuharibia tu nchi yetu
NB: SINA CHAMA NA HAYO MAPOVU YENU WANA FISIEMU MYAPELEKE KWA WAKE/WAUME ZENU WAKAFULIE CHUPI SITAKI SHOBO HAPA HUNA HOJA KAA PEMBENI[emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]
Hapo mwisho nimecheka kwa sauti alafu nikondani mwenyewe!
Yaani sauti kubwa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom