Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Nawaza tu. Siku Airport ya Chattle ikiisha ikapata jina kwa heshima kubwa kabisa.
Pombe International Airport.
Dah, hivi waarabu watatua hapo? Teh teh teh
Hostel za UDSM zitaitwa jina sawa na Chattle Airport
 
Kwanza tafuta kazi ya kufanya ili upate kipato, ww unashinda kwenye vijiwe ukitegemea raisi atakupa maendeleo
 
Unazungumzia huduma zipi?Kulala chini hosptal,kushindwa kulipa mishahara,kwa na miundominu mibovu ya elimu?Kushindwa kuwakamata wezi wa almasi ya thamani a USD MIL 200?
 
Leo hii tunaambiwa kama unaishi maisha ya RAHA ZA AJABU utaish kishetani,so tunarud zama zilezile za awam ya 1
 
Sasa chama kinachojali maslahi hayo maana ya nchi ni kipi?! Hawa walioimilikisha raslimali za nchi kwa hao wanaoitwa wawekezaji kwa mrabaha wa 3% ?! Bora kufanya majaribio!!
 
Leo hii tunaambiwa kama unaishi maisha ya RAHA ZA AJABU utaish kishetani,so tunarud zama zilezile za awam ya 1
Wapo walioishi raha za ajabu kwa njia zisizo harali hao lazima warudi nyuma wajipange, waliutumia unyonge wetu wakajinufaisha lakini mianya hiyo imezibwa hivyo kuishi kama mashetani hao haiepukiki mkuu
 
Reactions: SDG
Mwl nyerere alishatujengea msingi wetu,mambo ya kichina sijui ya kimarekani ya nn,tanzania mwl alishatujengea mfumo wetu wa kufuata
 
Sasa chama kinachojali maslahi hayo maana ya nchi ni kipi?! Hawa walioimilikisha raslimali za nchi kwa hao wanaoitwa wawekezaji kwa mrabaha wa 3% ?! Bora kufanya majaribio!!
Hakuna chama mkuu tunachoweza kusema kwa sasa kipo kwa maslahi mapana ya nchi, hivyo kuwategemea wanasiasa ni kutaka kufa masikini wewe na familia au vizazi vyako mkuu
 
Yeye mwenyewe hana mawazo ya Maendeleo ataletaje maendeleo
Maendeleo ambayo Magufuli ameyaleta kwa miaka miwili lowassa angeweza au mngekua mnatafuna tu nchi saivi, nyie ikulu sahauni tena ngoja 2020 tuwapunguze kwanza Bungeni.
 
Maendeleo ambayo Magufuli ameyaleta kwa miaka miwili lowassa angeweza au mngekua mnatafuna tu nchi saivi, nyie ikulu sahauni tena ngoja 2020 tuwapunguze kwanza Bungeni.
Maendeleo gani hayo.kayaleta? Ana yamemgusaje mtu mmoja mmoja hasa mwanachi masikini
 
Sijui kama watamruhusu aweke mambo hadharani na kuna uwezekano mkubwa wa kubensananiwa au kutundulisiwa!

Mtu yeyote anaejivunia udhalimu kama huo si kosa kumuita punguani na kipofu!! Huu ukada umesababisha watu wasione ukweli (SHAME)
Hakuna chama mkuu tunachoweza kusema kwa sasa kipo kwa maslahi mapana ya nchi, hivyo kuwategemea wanasiasa ni kutaka kufa masikini wewe na familia au vizazi vyako mkuu
Sasa kama hakuna chama tufanyeje?! Turidhike na kinachoendelea?! Kuna haja WaTz wakajitafakari upya
 
Toto yake yenyewe failure, kama ameshindwa Toto yake ataiweza TZ KWELI
 
Kwa mtu yeyote mwenye akili acha vijana tu kama mimi na wewe mtoa mada hata wahenga kwa mwenye akili hawezi kuwa na mawazo hasi ya kusema kuwa pombe ataleta maendeleo yaani yeye anajuaga tu kuongea majungu na kujifanya mbabe sasa kwa mtindo huo kuna rais hapo? Kwanza hekima ya matamshi hana,pili hatumii akili katika mambo yake yaani akili zake ni za kushikiwa huyu hafai kabisa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…