Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Akili zako na hao watu wako wa vijiweni ninakili za vijiweni .

Acha akilinza vijiweni ,lete akili za darasani
 
Nimekwambia kuwa wanaondoa majina ya koo zao ili kupunguza makali ya kujadiliwa.
 
NILICHOGUNDUA, WANAOLALAMIKA SUALA LA UKABILA WENG WAO NI WACHAGA, NA HII INATOKANA NA HULKA YA UKABILA WALIYONAYO WACHAGA. SASA MMEKUTANA NA MPINGI UNAWADHIBITI KIDOGO MNALIALIA.

ZAMANI ILIKUWA BILA MAJINA YA MUSHI, TARIMO, TEMBA, MBOYA, MBOWE, N.K ILIKUWA NGUMU KUPEWA FURSA. TENA UKIENDA KWENYE INTERVIEW WANAANGALIA SURNAME, PANEL NZIMA IMEJAA WENYE MENO YALIYOOZA. WAKIONA HUJATUMIA SURNAME WANAKUULIZA UNATOKEA WAPI.. UKISEMA MTWARA HUKO, BS HIYO KAZI HUPATI.

WASUKUMA SYO WAKABILA KIHVYO.

TANZANIA MAKABILA YENYE TABIA YA UKABILA NA UBAGUZ WA KABILA YANAJULIKANA MIAKA NENDA RUDI

1. WACHAGA
2. WAHAYA
3. WANYAKYUSA

OFISI IKIWA NA BOSS WA MOJA KATI YA MAKABILA HAYO MATATU, BAS NDANI MUDA MFUPI TU HYO OFIS ITATAMALAKI KABILA MOJA NA LUGHA YA KIKABILA ITATAWALA HUKU WALE WASIO WA KABILA HLO WATATENGWA.

JPM, AWANYOOSHE NA KUWAVURUGA TU ILI KUFUTA UPUUZ WA UKABILA.
 
Mwenye akili alitakiwa kuwapuuza.....Tenda nyingi zinazohusisha serikali zinahusisha sifa za kampuni siyo Mtu!Hizo story kama unavyosema ulizipata kijiweni hukuwa na budi Kuziacha hapo.
 
Moja ya kazi ngumu sana duniani ni pamoja na kupambana na bepari- utahangaika nae weeeeeee lakini mwishowe atakushinda tu( ref. Mwalimu Nyerere)
 
Kweli inaelekea vyuma vinakaza kwa kabila moja tu la wapigadili wakongwe
 
Hao watu wakati wenzao wanalalamika kunyimwa fursa,walikuja juu sana kwamba wamesoma,acha wachomolewe,walikua wanapeana tenda kwa kuamgalia majina,sie akina Mwalwisi tulisubiri sana na hatukulia lia
Trump Yuko sahihi kabisa kwa mijitu kama nyie.........

Ova
 
Iwe kampuni ndogo au kubwa procedure za kubadili majina ni same na sio process rahisi kama unavyofikiri.Jamii forums ni jukwaa LA great thinkers epuka kuleta habari za kichochezi usizohakiki tafadhali
 
Kama unaamini ya kuwa maisha ni safari. Usitarajie kuona njia ya tambarare tu.

Mwanzo mlikula sana tena sana. Sasa waachieni na wengine wafaidi keki. Hakuna hali ya kudumu hapa duniani.

Mlizoea kuishi kama wafalme, sasa huyu Ngosha kabadili gia. Inabidi kubuni mbinu tu za kukabiliana naye na siyo kulialia.

Hata yeye atatoka tu na maisha utayafurahia tena. Ila amini kuwa hakuna hali ya kudumu milele hapa duniani.

One day uta-enjoy tena
 
Ilibidi nirudi kuangalia profile yako na thread zako kujua wewe ni wa mrengo gani? Ila haijanisumbua nimeshajua kwa hiyo siyo ajabu kwako wewe kuleta uzi kama huu.
 
NIUONGO KABISA, Hakuna ukweli hapa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…