Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Hii sio habari njema...kwa Northpole.. kokote na popote waliko wakisaka mkate wao.!

Natumaini ni uzushi mwingine...

'Ikumbukwe Kaskazini,CCM imeshinda Ubunge,Udiwani na nafasi nyinginezo..
'Sasa huo ubaguzi wanaufanyaje.? kuna wana cdm,ccm,tlp na cuf na wengi wasio na vyama

NB.awamu ya 5 huwezi kupata tenda kwa kutumia mbinu zilezile za awamu ya 4....mchezo umeshabadilika; japo uwanja ni uleule..'
 
Hiyo inawezekana ikawa propaganda tu kwa sababu anazojua mwandishi, au pengine ni inferiotity complex kutojiamini na kujihisi vibaya kwamba kabila lao serikali hii inalionea. Inawezekana sasa hivi hawapati sana tender kwasababu njia walizozoea za mkato zimefungwa, hazipo. Mi siamini kabisa eti ktk taasisi ya serikali yenye mchanganyiko wa makabila mengi wanakaa kujadili kabila moja tu la wachaga. acha kiki za aibu namna hii! Km hujapewa tender jua wenzako wamekuzidi maksi, hakuna kingine
 
Mambo ya kupoteza muda katika mitandao na hadithi za kufikirika zimempoteza kamanda huko mbeya! Usiposituka haraka nawe tutakupoteza ingawa bado unahitajika! Chapa kazi achana na JPM maana yupo sana hadi 2025.
 
tena wote walioshiriki katika tender hupewa mrejesho....huyu ni miongoni mwa watu wa kbila hilo waliokuwa wamezoea kutoa rushwa wapewe tender ss hv haziliki pelekeni documents mkishindwa kutaneni bar mpozane machungu kwa style hiyo
 
Hata mbuyu ulianza km mchicha.
Baadae pata kuwa km Rwanda na Burundi
 
Facts..
 
Hao watu wakati wenzao wanalalamika kunyimwa fursa,walikuja juu sana kwamba wamesoma,acha wachomolewe,walikua wanapeana tenda kwa kuamgalia majina,sie akina Mwalwisi tulisubiri sana na hatukulia lia
Tenda zote sasa hivi ni magufulli mwenyewe bashite lemutux jerry muro msukuma na gsm na wenyewe watapita
 
Zamani kulikuwa na msemo usemao kutesa kwa zamu sijui kama ni usemi huu ndio unaofanywa na mleta mada kwa upande wa shilingi na kama ni kweli basi wahenge wabarikiwe kwa maana usemi huu ni hai.
 
Ndugu, unaishi ulimwengu hupi?
 
Mkuu..Unandanganyika kirahisi sanaa..ulipokuwepo umeshidwa kureason ata mwenyewe??kabla Ujaleta mada Hapa.Tatizo lenu mlipenda shortcuts na ndo azipo tena.
....
Lipeni kodi ya serikali .acheni janja janja..
 
Pumba tuu, utabadili jina kwa kupigiwa simu....hizo si Kampuni?
Acha ujinga. Hawabadili jina la kampuni ila wakurugenzi wanaepuka majina ya koo. Hizi kampuni siyo kama zile za kina Mengi ambazo zinajulikana kitaifa. Tatizo huelewi na huna ujuzi mpana wa makampuni. Sasa kama kipo kikundi kidogo cha watu kinachoangalia majina ya kikabila ambacho hakijui chochote kuhusu haya makampuni madogo madogo kuna haja gani ya kuweka jina la ukoo! Pengine ningeweza kifunguka hapa zaidi ila naheshimu Identities za watu.
 
Kila kitu na wakati wake...enzi za Mkapa na Kikwete tenda zote walikuwa wanapata hawa kwa sababu walikuwa wanapeana wenyewe kwa wenyewe. Sasa kama ni kweli wametemwa, wanajifanya kulia, kwani walikuwa hawaoni wenzao jinsi walivyokuwa wanalalamika enzi hizo? Warudi tu kwao Moshi wakatapeliane wenyewe kwa wenyewe, tumewachoka.
 
Mbona hayo yakutotumia majina s ya ukoo walianza zamani? ,au hukusukia malakamiko yao kwa sababu yalikuwa yakiwanufaisha 70% sasa wanapata 50% kwao ni kilio?
 
Twafwa!!!
 

Wewe ni popoma tu, unakuwepo wakati wa maamuzi ya nani apewe tender?? Hii nchi tender hazitolewi kwa kukidhi vigezo tu, bali na mambo mengine kama kujuana na commission pia hupelekea upendeleo. Usijifanye Mungu kuwa unajua sana, hujui kitu.
 
Wewe ni popoma tu, unakuwepo wakati wa maamuzi ya nani apewe tender?? Hii nchi tender hazitolewi kwa kukidhi vigezo tu, bali na mambo mengine kama kujuana na commission pia hupelekea upendeleo. Usijifanye Mungu kuwa unajua sana, hujui kitu.
Nazungumzia utaratibu wewe popoma,, Kama huwaga mnakata commission halinihusu,
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…