chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
JamiiForums Maxence Melo Paw Post za Kipuuzi kama hivi ndo zinawaingiza Matatizoni Rais Magufuli anapaswa Kuheshimiwa.
Nimeona ID yako, mbona haiendani na Comment yako.Hapana wapo sahihi!!
Kila jambo hutokea kwa kusudi lake!!
Kinachofanya AMANI ya Tanzania IDUMU!,
NI MAOMBI YA WATU WA MUNGU!!
Na wala siyo kingine!!
Kuna watu wanaliombea sanaaaaa hili Taifa!.Na MUNGU anawajibu!!.
Also mzee bujibuji
MUNGU anakusudi ZURI Na Tanzania!!.
Amini kwamba.!
Ref:ID yangu
Ok.Utamchukiaje rais wa wanyonge. Unaijua tafsiri ya wanyonge sasa. Yaani ni rais anayewafanya wenye furaha na kujiamini kuwa wanyonge na waoga.
Marry, binadamu ndivyo tulivyo, huwezi kupendwa na wote, hata mimi nilipokuwa mtangazaji wa kipindi cha Kiti Moto, kuna watu walikuwa wanawahi nyumbani kukiangalia ili wasikimisi, na kuna watu, nikitokea tuu, wanazima TV au kuhamisha stesheni!. Ni kama ganda la mua la jana, wewe umelitupa, mwenzako ni neema. Kuna waziri fulani wa Mkapa, mtu wa Musoma, nikamsikia mdada mmoja akisema, hivi mtu unawezaje kumpenda jitu kama lile?!, amimi usiamini, nilipokea taarifa jinsi waziri huyo anavyogombewa na warembo!, hivyo usichokitaka wewe, wenzako wakitafuta!.Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)
Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
Kosa la upinzani ni kucheza muziki wa CCM. Leta safu mpya za uongozi, zama za Mbowe zimefika ukomo, upinzani wa Leo ili ukuwe unahitaji mawazo makubwa Na uthubutu mkubwa kuliko alionao Mbowe.
Ni wakati wa wapinzani kuwafikiria umma badala ya matumbo yao
Sio kweli, watu wengi wametulia tu wanaumia lkn wanashindwa waseme nini,ukitaka kuproove hilo chunguza huu Uchaguzi mdogo, utagundua kitu .You are alone my friend
Kwanini mkuu?.Huu Uzi unavutia kweli kuchangia.....Ila muda mfupi ulioisha nimeona mada kuwa JF sio salama tena........ngoja nikugongee like niendelee kucheza na kabinti kangu.
Mimi siongelei mambo ya magazetini naongea watu ninaoishi nao kitaa wale walikua wakigawa pesa za ngada kama sadakalawe kitaani tunawajua saivi ndio wanachukia Magufuli kupita maelezo huko mitaani na wamekua makamanda wakakamavu wa chadomo ghafla Hehehe yaani ukiwaona unabakia kucheka namna wanavyomchukia makonda na MagufuliUna uhakika kila mtu anayemkosoa ni muuza madawa na fisadi?? Ina maana mafisadi walifika million 30!!
List ya madawa ya kulevya mliyotoa kwa takwimu zilizopo hakuna hata mmoja aliyehukumiwa kifungo 80% kesi zao zilifutwa sasa wauza madawa gani unaowaongelea kwamba wameshughulikiwa??? Mbowe gwajima au idd azzan!!
Shame
Sijui ata rinipisi lini!? unizidi mie.Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)
Ndani ya utawala huu, tunashuhudia nchi ikiendeshwa kwa decrees kutoka ikulu, pasipo tena kuzingatia utawala wa sheria na katiba!!! Katiba imeainisha haki kadhaa ikiwemo haki ya kufanya shughuli za kisiasa , zinazo jumuisha mikutano, maandamano na mambo mengine. Cha ajabu, katika utawala huu, siasa zimepigwa marufuku hadi kipindi cha uchaguzi, na maandamano yana adhabu ya kifo kwa kupigwa risasi, kama wauza madawa ya kulevya nchini China.
Ni utawala ambao mbali na matakwimu ya kupika, maisha ya watanzania wengi yamekua ya dhiki kuu kiuchumi kwa kuvurugwa mifumo na utawala huu wa mhe Rais.
Nakumbuka wakati anaingia madarakani, alisema anatamani watanzania waishi kama mashetani, na naona anatimiza ahadi hii kwa kasi!!!!
Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
Heshima yako Mkuu.We ndio Mungu mpaka unajua atakuwa hai baada ya miaka 8?? Mungu akiamua hata kesho asubuhi huyo magufuli anaenda kaburini
Mkumbusheni kuna maisha baada ya kifo.... Kuna kuzimu na moto wa milele...vyeo vinapita tu ila huko ataenda kulipia machafu yote aliyofanya... afu sijui kwanini anasemaga tumuombee ilihali ana roho mbaya kiasi hiki
Hadi siiku moja watakapouangalia ukweli huu bado ndugu zetu watakuwa wanaendeleza siasa za 2006...mwisho wa siku kweli yanaweza kuja kutokea ya Zimbabwe, Afrika Kusini au Ethiopita.. na wao watashangilia bila kuzingatia kuwa bado walionufaika ni vyama tawala vya nchi hizo. Upinzani bado uko nje ya madaraka.Kosa la upinzani ni kucheza muziki wa CCM. Leta safu mpya za uongozi, zama za Mbowe zimefika ukomo, upinzani wa Leo ili ukuwe unahitaji mawazo makubwa Na uthubutu mkubwa kuliko alionao Mbowe.
Ni wakati wa wapinzani kuwafikiria umma badala ya matumbo yao
Uko sahihi huyu ndiye Lucifer haswa tuliyeingia chooni kuchagua 2015. Ni Mungu anayetakiwa ashughulikie shetani kwa kuwa huyu siyo binadamu kama sisisNamchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)
Ndani ya utawala huu, tunashuhudia nchi ikiendeshwa kwa decrees kutoka ikulu, pasipo tena kuzingatia utawala wa sheria na katiba!!! Katiba imeainisha haki kadhaa ikiwemo haki ya kufanya shughuli za kisiasa , zinazo jumuisha mikutano, maandamano na mambo mengine. Cha ajabu, katika utawala huu, siasa zimepigwa marufuku hadi kipindi cha uchaguzi, na maandamano yana adhabu ya kifo kwa kupigwa risasi, kama wauza madawa ya kulevya nchini China.
Ni utawala ambao mbali na matakwimu ya kupika, maisha ya watanzania wengi yamekua ya dhiki kuu kiuchumi kwa kuvurugwa mifumo na utawala huu wa mhe Rais.
Nakumbuka wakati anaingia madarakani, alisema anatamani watanzania waishi kama mashetani, na naona anatimiza ahadi hii kwa kasi!!!!
Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)