Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Nakushauri ujiue au unye boga kabisa maana Magufuli alishasema haihitaji kupendwa na mtu zaidi ya mke wake....
Chuki humuumiza anayechukia.....nakushauri uanze mapema clinic ya msongo wa mawazo maana utaugua sana kwaajili ya kujibebesha mizigo ya chuki....
Pole sana....
 
Hapana wapo sahihi!!
Kila jambo hutokea kwa kusudi lake!!
Kinachofanya AMANI ya Tanzania IDUMU!,
NI MAOMBI YA WATU WA MUNGU!!
Na wala siyo kingine!!
Kuna watu wanaliombea sanaaaaa hili Taifa!.Na MUNGU anawajibu!!.
Also mzee bujibuji
MUNGU anakusudi ZURI Na Tanzania!!.
Amini kwamba.!
Ref:ID yangu
Nimeona ID yako, mbona haiendani na Comment yako.
 
Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)

Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
Marry, binadamu ndivyo tulivyo, huwezi kupendwa na wote, hata mimi nilipokuwa mtangazaji wa kipindi cha Kiti Moto, kuna watu walikuwa wanawahi nyumbani kukiangalia ili wasikimisi, na kuna watu, nikitokea tuu, wanazima TV au kuhamisha stesheni!. Ni kama ganda la mua la jana, wewe umelitupa, mwenzako ni neema. Kuna waziri fulani wa Mkapa, mtu wa Musoma, nikamsikia mdada mmoja akisema, hivi mtu unawezaje kumpenda jitu kama lile?!, amimi usiamini, nilipokea taarifa jinsi waziri huyo anavyogombewa na warembo!, hivyo usichokitaka wewe, wenzako wakitafuta!.

Kumchukia mtu sio kosa, ila ni dhambi kwa Mungu!. Amri Kuu ni upendo, hata adui mpende!. Chuki ikizidi, inageuka ugonjwa, hivyo angalia usiugue!.

Kuna wengine wanachukia kwa chuki tuu for no apparent reasons na hakuna kosa lolote!, na wengine ni just chemistry tuu haziendi, hivyo hakuna kosa kumchukia yoyote, ila kosa ni kumjengea chuki ili achukiwe na wengine, huu ni uchochezi.

Vivyo hivyo wewe unavyomchukia, vivyo hivyo ndivyo wengine wanavyompenda hadi kuomba atawale milele!.

Wakati wa JK, alibezwa sana, na kuna watu walifunga na kuomba Mungu atuletee rais dikiteta ili ainyooshe nchi, na kweli Mungu kasikia sala yetu, akatupatia Magufuli.

Magufuli ni Dikiteta!, Tanzania Ilihitaji Dikiteta, Tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!

Kwa Kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?

P.
 
Nchi inaongozwa na washamba na malimbukeni..... Mungu kuchukua roho ya huyu Shetani mkuu.
 
Kosa la upinzani ni kucheza muziki wa CCM. Leta safu mpya za uongozi, zama za Mbowe zimefika ukomo, upinzani wa Leo ili ukuwe unahitaji mawazo makubwa Na uthubutu mkubwa kuliko alionao Mbowe.
Ni wakati wa wapinzani kuwafikiria umma badala ya matumbo yao

Mimi sioni kama upinzani una shida ya uongozi kwa siasa za Tanzania za sasa hata kiongozi wa upinzani akiwa ni Obama hali itakuwa ni hivi hivi
Huyu mbowe mnasema amefanya nn? Au angefanya nn? Let's say ww ndio ungekuwa kiongozi wa chadema ungefanya nn?
 
Kama humpendi jipige risasi, huyo nda raisi wetu mpendwa mungu alietuchagulia. Kwa uwezo wamungu atakuepo hadi 2029
 
Nchi inaongozwa vibaya sn kwa sasa kusifia lazima ujitoe ufahamu kwanza
 
Una uhakika kila mtu anayemkosoa ni muuza madawa na fisadi?? Ina maana mafisadi walifika million 30!!

List ya madawa ya kulevya mliyotoa kwa takwimu zilizopo hakuna hata mmoja aliyehukumiwa kifungo 80% kesi zao zilifutwa sasa wauza madawa gani unaowaongelea kwamba wameshughulikiwa??? Mbowe gwajima au idd azzan!!

Shame
Mimi siongelei mambo ya magazetini naongea watu ninaoishi nao kitaa wale walikua wakigawa pesa za ngada kama sadakalawe kitaani tunawajua saivi ndio wanachukia Magufuli kupita maelezo huko mitaani na wamekua makamanda wakakamavu wa chadomo ghafla Hehehe yaani ukiwaona unabakia kucheka namna wanavyomchukia makonda na Magufuli
 
Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)

Ndani ya utawala huu, tunashuhudia nchi ikiendeshwa kwa decrees kutoka ikulu, pasipo tena kuzingatia utawala wa sheria na katiba!!! Katiba imeainisha haki kadhaa ikiwemo haki ya kufanya shughuli za kisiasa , zinazo jumuisha mikutano, maandamano na mambo mengine. Cha ajabu, katika utawala huu, siasa zimepigwa marufuku hadi kipindi cha uchaguzi, na maandamano yana adhabu ya kifo kwa kupigwa risasi, kama wauza madawa ya kulevya nchini China.

Ni utawala ambao mbali na matakwimu ya kupika, maisha ya watanzania wengi yamekua ya dhiki kuu kiuchumi kwa kuvurugwa mifumo na utawala huu wa mhe Rais.

Nakumbuka wakati anaingia madarakani, alisema anatamani watanzania waishi kama mashetani, na naona anatimiza ahadi hii kwa kasi!!!!

Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
Sijui ata rinipisi lini!? unizidi mie.
 
We ndio Mungu mpaka unajua atakuwa hai baada ya miaka 8?? Mungu akiamua hata kesho asubuhi huyo magufuli anaenda kaburini

Mkumbusheni kuna maisha baada ya kifo.... Kuna kuzimu na moto wa milele...vyeo vinapita tu ila huko ataenda kulipia machafu yote aliyofanya... afu sijui kwanini anasemaga tumuombee ilihali ana roho mbaya kiasi hiki
Heshima yako Mkuu.
 
Kosa la upinzani ni kucheza muziki wa CCM. Leta safu mpya za uongozi, zama za Mbowe zimefika ukomo, upinzani wa Leo ili ukuwe unahitaji mawazo makubwa Na uthubutu mkubwa kuliko alionao Mbowe.
Ni wakati wa wapinzani kuwafikiria umma badala ya matumbo yao
Hadi siiku moja watakapouangalia ukweli huu bado ndugu zetu watakuwa wanaendeleza siasa za 2006...mwisho wa siku kweli yanaweza kuja kutokea ya Zimbabwe, Afrika Kusini au Ethiopita.. na wao watashangilia bila kuzingatia kuwa bado walionufaika ni vyama tawala vya nchi hizo. Upinzani bado uko nje ya madaraka.
 
Kuchukiwa ni jambo la kawaida, hata Yesu alichukiwa, alipigwa, aliuawa na wanadamu - sasa rais JPM vyovyote vile lzm baadhi ya watanzania wamchukie sbb amewashika pabaya:-
1. Fikiri jinsi BANDARI ilivyokuwa chochote ya kuiba kodi za serikali,

2. Fikiri jinsi watumishi wa umma walivyokuwa wanaenda kupumzika London weekend,

3. Fikiri jinsi wenye fedha walivyopoka viwanja, viwanda na ardhi za wanyonge,

4. Fikiri jinsi mikataba ya uchimbaji madini ilivyokuwa mibovu, nk nk nk

Sasa:-
Kama wewe ulikuwa unanufaika kwa namna yoyote ile na fedha zitokanazo na wizi huu lzm umulaumu JPM.
 
Namchukia sana Rais John Pombe Magufuli. Sijajua watanzania tulimkosea nini muumba tukapewa adhabu hii nzito kwa miaka hii kumi(kama hataamua kung'ang'ania madarakani)

Ndani ya utawala huu, tunashuhudia nchi ikiendeshwa kwa decrees kutoka ikulu, pasipo tena kuzingatia utawala wa sheria na katiba!!! Katiba imeainisha haki kadhaa ikiwemo haki ya kufanya shughuli za kisiasa , zinazo jumuisha mikutano, maandamano na mambo mengine. Cha ajabu, katika utawala huu, siasa zimepigwa marufuku hadi kipindi cha uchaguzi, na maandamano yana adhabu ya kifo kwa kupigwa risasi, kama wauza madawa ya kulevya nchini China.

Ni utawala ambao mbali na matakwimu ya kupika, maisha ya watanzania wengi yamekua ya dhiki kuu kiuchumi kwa kuvurugwa mifumo na utawala huu wa mhe Rais.

Nakumbuka wakati anaingia madarakani, alisema anatamani watanzania waishi kama mashetani, na naona anatimiza ahadi hii kwa kasi!!!!

Binafsi, namchukia mno Rais Magufuli(naamini kumpenda au kumchukia mtu sio kosa, hivyo sitegemei moderators kufuta Uzi wangu huu)
Uko sahihi huyu ndiye Lucifer haswa tuliyeingia chooni kuchagua 2015. Ni Mungu anayetakiwa ashughulikie shetani kwa kuwa huyu siyo binadamu kama sisis
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom