Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Pia kuna wengine hawakumuona kama mkombozi ila wamenadili gia na sasa wanamuona mkombozi.
Kubali matokeo, usidhani mko watu wa mawazo yenu tu.
 

Naunga mkono hoja
 
Paskali, kwanza, hizi ni hisia zangu na si kwa ajili ya kuwachochea wengine wafanye hivyo.

Pili kwa habari ya dhambi, ni nyingi twafanya hivyo sidhani Mimi kuchukia mtu ambaye, kwa mtazamo wangu, anaiharibu nchi si neno kubwa.

Tatu, unaruhusiwa pia kumpenda na kufurahia, ni haki yako kama Mimi nilivyo na haki ya kumchukia kuliko shetani huyo anaye taka tuishi kama yeye
 
Mi naogopa kusema sijui usalama wangu humu ningesema endapo nitahakishiwa usalama wangu
 
Nakuunga mkono mtoa post lile jitu ni Zaidi ya Shetani,limejaa unafiki,Roho mbaya linyama la kutupa!!
 
Hata enzi za mitume, walikuwepo watu kama wewe waliowachukia mitume kwa hiyo wewe sio wa kwanza
 
Pia kuna wengine hawakumuona kama mkombozi ila wamenadili gia na sasa wanamuona mkombozi.
Kubali matokeo, usidhani mko watu wa mawazo yenu tu.
tumechoka aisee. Tuko tayari kufa kwa kupigania haki demokrasia kwa mstakabali wa Taifa let Na maslahi mapana kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo.

Kamwe hatuakubali vijukuu vyetu vitulaumu. TUNASEMA BAAS yatosha. HATA nisipokufa leo bado nitakuja kufa tu sitaishi milele.

Mkoloni mweusi lazima ATUBU Na adhibitiwe.

Maaamaee
 
Sasa nchi inaenda kama gari bovu kwa mujibu wa mwinyi
 
Kajitundike! Wee ni nani kati ya million zaidi 44 ya watanzania tunaompenda? CHADEMA imefanyanini? Kamwambie Mbowe wako alete democrasia ndani ya CHADEMA kwanza!
 
2025 hakuna uchaguzi tanzania na kama utakuwepo atagombea tena, E MUNGU TUHURUMIE
 
Kama hiyo picha kwenye avatar yako ni wewe, then usimchukie hivyo ndugu yako!.
Damu nzito kuliko maji!.

P
 
Bado naamini chadema ni imara chini ya Mbowe. Kwa hizi siasa za sasa Mbowe anahitajika sana,otherwise hakuna upinzani,najua umenielewa
 

Ni kosa kumchukia mtu. Wewe mvumilie tu muda wake utapita.
Na kibaya zaidi ukimchukia waishia kuumia wewe, yeye hana habari yuko zake magogoni anakula kiyoyozo huku akitimiza majukumu yake.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…