Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

Status
Not open for further replies.
Kuna thread humu inaelezea ahadi za Magufuli nenda kaisome....

Halafu kuna Ilani ya CCM nenda kaisome pia.

Halafu rudi hapa uje kutuuliza ambacho hujakielewa..
Nimeisoma nimerudi! Nauliza kuna sehemu ilani yenu inasema itawezesha wanafunzi wasichana waliopewa mimba kurudi shule baada ya kujifungua! Lakini naona in-charge anawakamata na kuwatia lupango, sielewi hapo!
 
Kama kichwa kinavyojieleza

Binafsi sikumchagua Rais Magufuli na simkubali hata kidogo kwa utawala wake mbovu na kuvuruga mambo mbalimbali yenye mustakabali wa maendeleo ya nchi na vizazi vijavyo.


Ni mtanzania mwehu pekee atakeyekubaliana na mambo yanayotokea nchini.

Hapa sijaandika uzi huu kwamba mimi ni mfuasi wa chama fulani, sina chama ni mtanzania wa kawaida.

Tangu 2015 kila kitu nchi hii ni shaghalabagala.

Sio lazima kuwa kiongozi kazi imekushinda kaa pembeni.
 
watanzania hawaja mchagua huyo ..watanzania sio wajinga wakiwango wango hcho mpka wajikute wanamchagua mtu asiye na weledi wakufikiri katika majukumu yake yakuliongoza taifa ...

kilichofnyika ni ubakwaji wa democracia ulifanywa na NEC kulipitisha robot lao iliwaendelee kuwaruhusu ma bwanyenye ya ccm kuendelea kuyatafuna mema ya nchi
 
Siyo wasukuma bali watanzania sote, Mbowe na kundi lake (siyo C D M wote ) watengwe na watanzania wote.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom